50 People Who Are Screwing Up Tanzania

Status
Not open for further replies.

Moderator

Supervisor
Nov 29, 2006
697
1,122
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Abdulrahman Kinana
  4. Andrew Chenge
  5. Idris Rashid,
  6. Nazir Karamagi,
  7. Gray Mgonja,
  8. Basil Mramba,
  9. Daniel Yona,
  10. Peter Noni,
  11. Nimrod Mkono,
  12. Subash Patel
  13. Yusuf Manji
  14. Anna Mkapa
  15. Johson Lukaza
  16. Vincent Mrisho
  17. Frederick Sumaye
  18. Omari Mahita
  19. Jeetu Patel
  20. Sir Andy Chande
  21. Amatus Liyumba
  22. Emmanuel Nchimbi
  23. Shailesh Vithlani
  24. Tanil Somaiya
  25. Eric Shigongo
  26. Patrick Rutabanzibwa
  27. Felix Mrema (Arusha)
  28. Laurence Masha
  29. David Mattaka
  30. Kingunge Ngombare Mwiru
  31. Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
  32. Malegesi Advocates
  33. Ringo Advocates
  34. Cleopa David Msuya
  35. Prof. Mkandara (UDSM)
  36. Maria Kejo
  37. Apson Mwang'onda
  38. Dr Edward Hosea - PCCB
  39. Ferdinand Ruhinda
  40. George Lauwo (TRA Customs)
  41. Cpt. John Chiligati
  42. Costa Mahalu
  43. James Sinclair
  44. Pius Msekwa
  45. Alex Massawe
  46. Zakhia Meghji
  47. Joseph Mungai
  48. Abdallah Kigoda
  49. Yusufu Makamba
  50. Sheikh Yahya Hussein
Tuendeleze list

NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
 
Last edited:
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50).

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Andrew Chenge
  4. Idris Rashid,
  5. Nazir Karamagi,
  6. Gray Mgonja,
  7. Basil Mramba,
  8. Daniel Yona,
  9. Peter Noni,
  10. Nimrod Mkono,
  11. Subash Patel
  12. Benjamin William Mkapa
  13. Yusuf Manji
Tuendeleze list

Mbona hujamweka Mkulu? Huyu ndo namba one bana!
 
Number one in order of gravity should be Jakaya Mrisho Kikwete
 
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.

Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50).

Tunaweza kuwataja bila uonevu?

Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:

  1. Rostam Azziz
  2. Edward Lowassa
  3. Andrew Chenge
  4. Idris Rashid,
  5. Nazir Karamagi,
  6. Gray Mgonja,
  7. Basil Mramba,
  8. Daniel Yona,
  9. Peter Noni,
  10. Nimrod Mkono,
  11. Subash Patel
  12. Benjamin William Mkapa
  13. Yusuf Manji
Tuendeleze list

Anna Mkapa
 
Sijui inatumika vigezo gani?, lakini list kama hii yaweza tumika kuchafuana ama kuchafua hata wale wasiokuwepo.
 
Sijui inatumika vigezo gani?, lakini list kama hii yaweza tumika kuchafuana ama kuchafua hata wale wasiokuwepo.
Tujitahidi kuwa fair, tusionee mtu. Ikifikia list ya 50 bora naomba tuipitie hiyo kwa kuwamulika hawa wanaolifanya taifa liende ndivyo sivyo.

Mods naomba mnisaidie kuirekebisha list endapo kunaonekana kuwa na kumwonea yeyote au kama kuna nyongeza ya screwers
 
The buck stops with us, the people. We are the ones who are screwing up our own country by electing these fools who don't know what the heck they are doing up there. These people didn't appoint themselves to be in those positions.

Every five years we get a chance to assess, evaluate, and examine the perfomance of our existing leaders and scrutinize the record of the potential ones. I can confidently say that we do an abysmal job in doing so.

In any other sophisticated society, none of these fisadis would be re-elected into office. But what can I say about us...well...you already know.
 
The buck stops with us, the people. We are the ones who are screwing up our own country by electing these fools who don't know what the heck they are doing up there. These people didn't appoint themselves to be in those positions.

Every five years we get a chance to assess, evaluate, and examine the perfomance of our existing leaders and scrutinize the record of the potential ones. I can confidently say that we do an abysmal job in doing so.

In any other sophisticated society, none of these fisadis would be re-elected into office. But what can I say about us...well...you already know.
Well, nimewaweka "watanzania" kwa ujumla wao kuwa ndicho chanzo nambari moja cha matatizo ya taifa letu
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom