Moderator
Supervisor
- Nov 29, 2006
- 697
- 1,122
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.
Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.
Tunaweza kuwataja bila uonevu?
Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:
NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50). Namaanisha wale wanaolifanya taifa letu liendelee kuishi katika hali duni na watu wake huku wakijinufaisha wao na wenzao wachache na wale wanaolichafua taifa mbele za mataifa jirani na kuharibu mitizamo (vision) kwa ajili ya watoto wetu na vizazi vijavyo.
Tunaweza kuwataja bila uonevu?
Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:
- Rostam Azziz
- Edward Lowassa
- Abdulrahman Kinana
- Andrew Chenge
- Idris Rashid,
- Nazir Karamagi,
- Gray Mgonja,
- Basil Mramba,
- Daniel Yona,
- Peter Noni,
- Nimrod Mkono,
- Subash Patel
- Yusuf Manji
- Anna Mkapa
- Johson Lukaza
- Vincent Mrisho
- Frederick Sumaye
- Omari Mahita
- Jeetu Patel
- Sir Andy Chande
- Amatus Liyumba
- Emmanuel Nchimbi
- Shailesh Vithlani
- Tanil Somaiya
- Eric Shigongo
- Patrick Rutabanzibwa
- Felix Mrema (Arusha)
- Laurence Masha
- David Mattaka
- Kingunge Ngombare Mwiru
- Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
- Malegesi Advocates
- Ringo Advocates
- Cleopa David Msuya
- Prof. Mkandara (UDSM)
- Maria Kejo
- Apson Mwang'onda
- Dr Edward Hosea - PCCB
- Ferdinand Ruhinda
- George Lauwo (TRA Customs)
- Cpt. John Chiligati
- Costa Mahalu
- James Sinclair
- Pius Msekwa
- Alex Massawe
- Zakhia Meghji
- Joseph Mungai
- Abdallah Kigoda
- Yusufu Makamba
- Sheikh Yahya Hussein
NOTE: Marais wote kuanzia Mwalimu Nyerere pamoja na raia wote tunahusika kwa namna moja ama nyingine.
Last edited: