Hawa wamekula vipi pesa za watanzania? Yani hapa tunataka wanaoliibia taifa pesa ama wanahusika kwa namna moja ama nyingine kupelekea ufisadi mkubwa kwa Taifa.
Pia wanaoliabisha taifa kwenye anga za kimataifa kwa vitendo vichafu vya namna zozote zile.
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.
Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50).
Tunaweza kuwataja bila uonevu?
Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:
Tuendeleze list
- JAKAYA MRISHO KIKWETE
- Rostam Azziz
- Edward Lowassa
- Andrew Chenge
- Idris Rashid,
- Nazir Karamagi,
- Gray Mgonja,
- Basil Mramba,
- Daniel Yona,
- Peter Noni,
- Nimrod Mkono,
- Subash Patel
- Benjamin William Mkapa
- Yusuf Manji
- MUSTAFA MKULLO mnunuzi wa mabati ya quality group kwa bil 40 kupitia NSSF, nikikosa pension yangu nitamtoa roho
- KINGUNGE (KILA GARI LINALOPAKI JIJI LA DAR LINAMLIPA YEYE huuu)
- LIYUMBA NAMSAMEHE KWA AJILI KAWAPA DADA ZETU VIGARI NA PILI SIAMINI KAMA HR MANAGER ANAWEZA KUCHOTA $200M BILA IDHINI YA BOARD OF DIRECTORS NA FINACE DIRECTOR
Masa,Kuna yule mama aanaitwa Masasi kila numba ya gari bongo kibao lazima kitoke kwake looohhh
Baada ya Invisible kuweka kitabu cha "100 People Who Are Screwing Up America" nimekuja kugundua kuwa watu wengi walitaka tuwe na list ya walau watu 50 wanaoivuruga nchi.
Tukiweza kuweka list itapendeza kuwajua wabaya wa taifa letu (walau 50).
Tunaweza kuwataja bila uonevu?
Tiyari wafuatao walishaanza kutajwa:
Tuendeleze list
- Watanzania wenyewe
- Rostam Azziz
- Edward Lowassa
- Andrew Chenge
- Idris Rashid,
- Nazir Karamagi,
- Gray Mgonja,
- Basil Mramba,
- Daniel Yona,
- Peter Noni,
- Nimrod Mkono,
- Subash Patel
- Benjamin William Mkapa
- Yusuf Manji
- Anna Mkapa
- Jakaya Mrisho Kikwete
- Vincent Mrisho
- Frederick Sumaye
- Omari Mahita
- Jeetu Patel
- Sir Andy Chande
- Amatus Liyumba
- Emmanuel Nchimbi
- Shailesh Vithlani
- Tanil Somaiya
- Zeutamu Owner
- Patrick Rutabanzibwa
- Felix Mrema (Arusha)
- Laurence Masha
- David Mattaka
- Kingunge Ngombare Mwiru
- Mark Manji & Sadiki Muze (hawa wamepelekea ATCL kufikia ICU)
nimekusoma mkuu, ni kukurupuka kuandika "watanzania wote" wakati tumeanzisha mada kwa kichwa cha "watu 50". Nawaondoa watanzania kwa ujumla wao ili kuweza kuwaweka 50 wa ukweli.Mtumishi, Kwasababu umesha add "Watanzania weneyewe" Ni vyema ukaubadili mjadala sasa na kusema "Sababu 50" zinazo screw up Watanzania badala ya "Watu 50" Ili iweze kumake sense ni lazima ufanye mabadiliko hayo, either or will make sense,tubaki na watu 50-Watanzania wote ama tuseme watanzania wote and then tujadili sababu.
...napendekeza baadaye fanya kitu kama poll hivi ili tuwapange in order of magnitude, Kingunge hawezi kukaa mbali namna hiyo, 31?
Marehemu Daudi Balali
__________________
huyu ndie alietakiwa kumwongoza rostam aziz
hata jehanamu anaongoza namba moja
Jaji Lewis Makame, Nolan, Marehemu Daudi Balali