CUF Ngangari
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 273
- 51
akiongea baada ya makabwela kuchangia kwa papo kwa papo na kutuma kupitia M-PESA, TIGO PESA, AIRTEL MONEY, A/C YA BANK ya NBC, prof i. h. Lipumba amesema watanzania waendelee kuchangia chama chao chama cha wanainchi. ambapo matembezi hayo yataendelea Arusha.