saronga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 909
- 218
akiongea baada ya makabwela kuchangia kwa papo kwa papo na kutuma kupitia M-PESA, TIGO PESA, AIRTEL MONEY, A/C YA BANK ya NBC, prof i. h. Lipumba amesema watanzania waendelee kuchangia chama chao chama cha wanainchi. ambapo matembezi hayo yataendelea Arusha.
Changa la macho hili, tayari Magamba A wamewafadhili kutoka kwenye zile fedha zao za kifi'sadi mnasingizia makabwela. Tushastukia janja yenu. Leo policcm walikuwa wapi, mbona watu wameandamana halafu hakuna hata kirungu cha policcm??