uchaguzi2020

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Choco-late

    Ni uhuru upi wa kujieleza wanaoutaka CHADEMA?

    Kuna dhana potofu ambayo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wamekuwa wakiwaaminisha Watanzania eti hakuna uhuru wa habari na vyombo vya habari vimeminywa. Dhana hiyo imekuwa ikiwashangaza hata waandishi wa habari wenyewe kwani hawajaona kuminywa huko kwani wamekuwa wakifanya kazi...
  2. Libya

    Uchaguzi 2020 Kauli ya Sheikh Ponda yakanushwa na wahadhiri wa Dini ya Kiislam

    Masheikh wakanusha kauli ya Issa Ponda kuwa waislamu walikubaliana kumpigia kura Lissu. Sheikh Ponda Issa Ponda alisema hayo alipokuwa Dodoma akimnadi mgombea Urais kupitia tiketi ya CHADEMA, Tundu Atipas Lissu. Soma pia > Uchaguzi 2020 - Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa...
  3. UKWELIYAKINIFU

    Rais Magufuli ameboresha uwekezaji wa kimkakati Tanzania

    UONGOZI WA RAIS MAGUFULI UMELETA UWIANO KATI YA UWEKEZAJI WA KIMKAKATI NA HUDUMA ZA JAMII Ni habari njema katika utekelezaji wa sera za maendeleo ya Taifa pale nchi yetu ya Tanzania inapoingia katika uchumi wa kati. Lakini habari ya kutia moyo zaidi ni kwa Uongozi wa Awamu ya Tano chini ya Rais...
  4. UKWELIYAKINIFU

    Tukimtazama Rais Magufuli katika maono ya Mwalimu Nyerere: Je, wanyonge tungejibu nini?

    Mwasisi wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere katika uhai wake alitoa hotuba nyingi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali, ndani na nje ya nchi. Moja ya hotuba zilizovuta hisia za Watanzania wengi ni ile aliyoitoa katika Mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi mnamo...
  5. Sami Omary Khamis

    Kishindo cha Rais Magufuli katika uhusiano wa Mataifa

    Na Debora C. Kiyuga ✍🏽 Miaka Mitano ya Magufuli Serikali imeimarisha uhusiano na ushirikiano na Mataifa ya nje pamoja na taasisi za kimataifa. Hii ndiyo sababu Serikali iliweza kupokea viongozi wa Nchi na Taasisi mbalimbali za kimataifa, ikiwemo Vietnam, India, Uturuki, Afrika Kusini, DRC...
  6. Sami Omary Khamis

    Hoja ya kuwa Rais Magufuli anapendelea Chato haina mashiko

    Hoja ya kuwa Mgombea Wetu Rais Magufuli anapendelea Chato hazina Mashiko :- 1. Ikulu ya Chamwino -ni Chato? 2. Hospital za Rufaa za Kanda Mtwara na Mara ni Chato? 3. Reli SGR-inafika Chato? 4.Bwawa Kubwa la Kuzalisha Umeme liko Chato? 5. Flyover -Ziko Chato? 6. Cherezo za Meli-ziko...
  7. Sami Omary Khamis

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Chato: Mkutano wa mgombea Urais Dkt. Magufuli (CCM) - Septemba 14, 2020

    MKUTANO WA MGOMBEA URAIS JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKEA CHATO, GEITA UKO LIVE === MAGUFULI: Ndugu zangu wa Chato na Geita kwa ujumla, mwaka 1995 nilikuja kuomba kura kwa nafasi ya ubunge, mkanipa miaka 5, nikaja tena mwaka 2000, nikaja tena 2005. Katika vipindi vyote vinne nikiwa mbunge...
  8. Sami Omary Khamis

    Uchaguzi 2020 Uchambuzi wa ilani ya CCM kwenye kudumisha Muungano

    Na Bwanku M Bwanku CCM kwa miaka 56 toka kuasisiwa kwa Muungano wetu adhimu wa Tanganyika na Zanzibar imeendelea kuthamini na kudumisha Muungano wetu huu wa mfano kote duniani, wa kihistoria na wa kipekee sana kwa kuzidi kuulinda, kuuenzi na kushughulika na changamoto zake zote ili uendelee...
  9. Sami Omary Khamis

    Uchaguzi 2020 Mafanikio yaliyoletwa na Rais Magufuli yawaumiza kichwa wapinzani katika kampeni zao

    Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi Dkt. John Pombe Magufuli ameendelea na Kampeni katika mkoa wa Geita mabapo mbali na kuomba kura ameeleza mafanikio kadhaa yaliyopatikana katika mkoa huo huku akisisitiza katika kuleta maendeleo zaidi katika mkoa huo, haya ni baadhi ya aliyoyazungumza...
  10. puza46b

    Uchaguzi 2020 Tulinganishe sera za Magufuli, Lissu na Membe

    TULINGANISHE SERA ZA MAGUFULI, LISU NA MEMBE: Tukielekea kwenye uchaguzi tumeanza kuona washabiki wakibezana na kuhoji sera za washindani wao. Wapo waliomwambia Lisu kuwa yeye ni kutukana tuu hana hoja. Kuna waliosema Magufuli anatumia vitisho na kulazimisha watanzania wampende. Na mwisho kuna...
  11. puza46b

    Zitto anajua nini anafanya

    ZITTO ANAJUA NINI ANAFANYA. Mbowe alipompeleka Lowasa CHADEMA (inasadikika kidikteta) alisema wamebadilisha gia angani. Mbowe alikuwa anaamini Lowasa atashinda uchaguzi, alitegemea kuwa ile mitandao ya Lowasa italinda kura na CHADEMA kitashika madaraka. Baada ya matokeo ya uchaguzi (inasadikika...
Back
Top Bottom