SPECIFICATION
Model : Dell Latitude 5300
Processor: Core i5
Ram : 8 GB
SSD : 500 GB
Size : Inch 14
Generation : 8
Window : 11
Screen: Normal and Touch screen
Bei : 500,000/=
Computer ni used ila ipo kwenye ubora mzuri sana kama mpya.
Inakaa na charge zaidi ya masaa kumi ukitumia mfululizo.
Ina...
Teknolojia ya vifaa vya kushikilia data imekuwa kubwa sana ni ajabu naona bado Tanzania tunaendelea kutumia Hard Disks.
Hard Disks huwa zinasoma data kwa vifaa kuzunguka ndani yako, Zipo slow sana, hata ukiweka ram kubwa ama uwe na processor nzuri, itakuwa na msaada kidogo, ni sawa na mtu...
Mkuu The bump
Tunaomba utoe ufafanuzi wa vifuatavyo
SSD ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?
Cloud storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?
Virtual storage ni nini, faida yake ni nini na kazi yake ni nini?
Tunaomba maelezo yaliyojitosheleza maana nimefanya km...
Computer ya HP all in one inauzwa ina internal Storage ya SSD 2TB na EXTERNAL STORAGE ya 18TB.
Computer iko very perfect nzuri inavutia Mayai classic.
Screen Touch yenye ukubwa wa inch 27
RAM 16gb
Storage 20tb
Core i7 (8th Gen)
instaled window 11pro
Kasoro zake
Wireless keyboard yake na...
Wadau najiuliza kwann siku izi computer nyingi unakuta storage yake ni 256 yaan imekuwa common
Unakuta mashine ina processor kubwa ila storage ndogo.
Watalaam naomba mnijuze
Kwa wale ambao Computer Laptop au Computer Desktop zao ni nzito mpaka unahisi kero usijali.
Mzigo huu hapa SSD SATA III GB 512 kwa Tsh 80,000/= tu unafurahia maisha kwa Computer yako kuwa chap!
Napatikana Dar es Salaam, Lindi na Msimbazi Street (Kariakoo)
#0622901670
Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd.
laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye 8GB, zamani zilikuwa nafasi mbili jumla ya ram ilikuwa 16 gb.
nimeona speed ya pc imepungua si kama...
Heri ya mwaka mpya kwenu nyote wana teknolojia. Ozone Technologies imerudi tena kivingine katika mwaka huu wa 2023 kuhakikisha kila mtu anakuwa na Computer mpakato yenye kasi na ufanisi. Ili wateja wetu wapate kufurahia kasi ya computer watakazonunua kutoka kwetu, tumehakikisha computer zetu...
Ni Ofa ya mwaka mpya na mambo mazuri kwa bei poa kabisa.
Ni Adata Legend M.2 SSD Mpya kabisa kwa Tsh 150,000/= kila moja.
Description
● PCIe Gen3 x4 interface
● Fast read/write performance
● Heat sink keeps things 15% cooler
● Great upgrade option for creators
● High capacities
● Supports...
Karibu tukuhudumie. Laptop zetu zote zina SSD storage, 8GB RAM. Karibu tukuhudumie. Tunapatikana Machinga complex floor ya pili. Tupigie ama tutumie message whatsapp kupitia namba zetu 0753555055 ama 0714894798.
Instagram kwa picha zaidi ozonetechnologiestz
Laptop ni refubrished, lakini zetu...
Habari zenu wadau.
Habari njema kwenu nyote wana teknolojia, Karibu ozone ujiptie SSD, RAM na Vioo vya laptop kwa bei rahisi na nafuu. SSD, RAM na Vioo vyetu ni vipya kabisa kwa maana ya kwamba wewe ndiwe utakuwa mtumiaji wa kwanza. Pia kukuhakikishia ubora wa bidhaa zetu, Kwa SSD tunakupa...
nauza SSD mpya zenye ukubwa wa GB 240 kwa ajili ya laptop na desktop, SSD hizi ni brand ya kingston (A400) unafungua mwenyewe zipo sealed na hazijawahi kutumika. hii model imetoka amazon na sasa hivi ndio ssd inayouzika kwa sana Duniani, kwa wale wanaotaka kuhama toka HDD. unaweza kuiangalia...
Mabadiliko ya Mfumo wa Utendaji Kazi wa shirika kutoka Kiraia kuwa Jeshi-Usu
Chini ya uongozi wa awamu ya tano, TANAPA imeweza kufanya mabadiliko makubwa katika eneo la mfumo wa utendaji kazi kutoka ule wa Kiraia kwenda Jeshi-Usu.
Muundo mpya wa Shirika uliidhinishwa na Mheshimiwa Rais wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.