Kuongeza ufanisi wa pc kwa bajeti, Je ninunue SSD GB 128 kwajili ya windows kisha niigeuze hdd ya 1 tb kwajili ya storage au ni lazima iwe 1TB SSD ?

R-K-O

JF-Expert Member
Jun 27, 2023
482
2,138
Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd.


laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye 8GB, zamani zilikuwa nafasi mbili jumla ya ram ilikuwa 16 gb.

nimeona speed ya pc imepungua si kama mwanzoni, ram zikiwa mbili huwa zinasaidiana ila kwa sasa ram moja ndio imebeba mzigo wate.

Nimepata wazo ninunue SSD ya GB 128 iwe kwajili ya windows na software, hdd ya 1 tb iwe kwajili ya kutunza files kama movie, series, picha, pdfs, n,k.

Bajeti yangu ya SSD haizidi 120,000.
 
Hio ndio best option. .
Weka window/Linux kwenye ssd then tumia sata hdd for data. ..process zote zinafanyima on ssd. .hakikisha tu haitoi mstari mwekundu kwakuinstall program's nyingi kwakua itakua slow
 
Hio ndio best option. .
Weka window/Linux kwenye ssd then tumia sata hdd for data. ..process zote zinafanyima on ssd. .hakikisha tu haitoi mstari mwekundu kwakuinstall program's nyingi kwakua itakua slow
Asante kwa kuchangia

Ningependa kuujua huo mstari mwekundu ili niweze kuchukua tahadhari, ni kwamba unatokea kwenye screen au ni vipi.

Nilidhani ssd hata ukijaza programs uwezo wake ni wa juu kuzidi hdd yenye programs chache, kumbe ukijaza program kwenye sdd nayo inakuwa slow ?
 
Asante kwa kuchangia

Ningependa kuujua huo mstari mwekundu ili niweze kuchukua tahadhari, ni kwamba unatokea kwenye screen au ni vipi.

Nilidhani ssd hata ukijaza programs uwezo wake ni wa juu kuzidi hdd yenye programs chache, kumbe ukijaza program kwenye sdd nayo inakuwa slow ?
It's like thresholds ya ujazaji wa hdd,ikifikia 90% ya hdd itaweka red. ..
 
Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd.


laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye 8GB, zamani zilikuwa nafasi mbili jumla ya ram ilikuwa 16 gb.

nimeona speed ya pc imepungua si kama mwanzoni, ram zikiwa mbili huwa zinasaidiana ila kwa sasa ram moja ndio imebeba mzigo wate.

Nimepata wazo ninunue SSD ya GB 128 iwe kwajili ya windows na software, hdd ya 1 tb iwe kwajili ya kutunza files kama movie, series, picha, pdfs, n,k.

Bajeti yangu ya SSD haizidi 120,000.
Hiyo 120K unapata 1TB sata SSD.
 
Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd.


laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye 8GB, zamani zilikuwa nafasi mbili jumla ya ram ilikuwa 16 gb.

nimeona speed ya pc imepungua si kama mwanzoni, ram zikiwa mbili huwa zinasaidiana ila kwa sasa ram moja ndio imebeba mzigo wate.

Nimepata wazo ninunue SSD ya GB 128 iwe kwajili ya windows na software, hdd ya 1 tb iwe kwajili ya kutunza files kama movie, series, picha, pdfs, n,k.

Bajeti yangu ya SSD haizidi 120,000.
 

Attachments

  • Screenshot_2023-06-29-09-36-02-062_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    Screenshot_2023-06-29-09-36-02-062_com.alibaba.aliexpresshd.jpg
    46.9 KB · Views: 17
kuna mambo umechanganya changanya hata sijakuelewa.

Umeongela Kuwa na slot 2 za Ram.
Pia unasema unataka uweke SSD na HDD kwenye laptop moja.

swali.

Hizo slot mbili za ram zinahusika nini na kuongeza SSD kwenye PC?

Hiyo PC yako ina slot 2 za kuweka Storage Drive? yaani unaweza weka hdd na ssd?

Kama ina slot mbili za Storage sawa. ila kama haina na ina mlango wa CD basi badili huo mlango kuwa Storage.
 
Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd.


laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye 8GB, zamani zilikuwa nafasi mbili jumla ya ram ilikuwa 16 gb.

nimeona speed ya pc imepungua si kama mwanzoni, ram zikiwa mbili huwa zinasaidiana ila kwa sasa ram moja ndio imebeba mzigo wate.

Nimepata wazo ninunue SSD ya GB 128 iwe kwajili ya windows na software, hdd ya 1 tb iwe kwajili ya kutunza files kama movie, series, picha, pdfs, n,k.

Bajeti yangu ya SSD haizidi 120,000.
Kwa 120k unapata SSD 500 GB agiza eBay, mimi nilinunua SSD 256 hadi inanifikia nilitumia 43k tu. Sumbawanga huku. Vumilia mwezi agiza, huku wanapiga sana. All the best.
 
Nina laptop yangu ni core i5 - 7th gen, Ram ni 8 gb - ddr4, storage ni 1 TB - Hdd.


laptop yangu ina vyumba viwili vya ram, chumba kimoja kwa sasa hakifanyi kazi kwahio natumia ram moja tu yenye 8GB, zamani zilikuwa nafasi mbili jumla ya ram ilikuwa 16 gb.

nimeona speed ya pc imepungua si kama mwanzoni, ram zikiwa mbili huwa zinasaidiana ila kwa sasa ram moja ndio imebeba mzigo wate.

Nimepata wazo ninunue SSD ya GB 128 iwe kwajili ya windows na software, hdd ya 1 tb iwe kwajili ya kutunza files kama movie, series, picha, pdfs, n,k.

Bajeti yangu ya SSD haizidi 120,000.
120,000 unapata 1TB na change inabaki ssd zimeshuka bei mno.

Pia mkuu unachomiss kwa kutokua na ram mbili hakitakua replaced na ssd.

Chukulia mfano ram ya kwanza Bandwidth yake ni 17GBps ukiwa na ram mbili inakuwa 34GBps hii Bandwidth husaidia kwenye Graphics za laptop, games na apps mbalimbali. Vitu vinakuwa Vinamove haraka toka kwenye Ram kwenda kwenye processor.

Ssd haitakusaidia hili, yenyewe ssd itakusaidia vitu kutoka kwenye storage kwenda kwenye ram haraka, mambo madogo madogo kama kuwasha computer, kufungua apps yatakua haraka haraka.

Ideal utahitajika kuwa na vyote ssd na dual chanell ram
 
PC kali lakini HDD inaishusha
HDD kwa miaka ya sasa ni takataka kabisa
nashauri OS ikae kwenye SSD na izo movies, files zingine zikae kwenye SSD pia
utagundua kwamba ukifungua file ( eg: movie ) kwenye SSD hakuna lags

fanya mpango ufanye repair ya hiyo RAM slot iliyokufa au uweke 16 GB RAM japo najua ni gharama kwa DDR4

kazi ya RAM haiwezireplesiwa na SSD, kila mmoja na kazi yake

faida ya SSD ni pale ule uharaka ( Read Speed ) hasa unapofungua file, ku load games au zile programs nzito nzito ( toka kwa permanent storage kwenda kwenye RAM ie: Harvard Architecture ) , file likishafunguka sasa hapo ni kazi ya RAM
 
120,000 unapata 1TB na change inabaki ssd zimeshuka bei mno.

Pia mkuu unachomiss kwa kutokua na ram mbili hakitakua replaced na ssd.

Chukulia mfano ram ya kwanza Bandwidth yake ni 17GBps ukiwa na ram mbili inakuwa 34GBps hii Bandwidth husaidia kwenye Graphics za laptop, games na apps mbalimbali. Vitu vinakuwa Vinamove haraka toka kwenye Ram kwenda kwenye processor.

Ssd haitakusaidia hili, yenyewe ssd itakusaidia vitu kutoka kwenye storage kwenda kwenye ram haraka, mambo madogo madogo kama kuwasha computer, kufungua apps yatakua haraka haraka.

Ideal utahitajika kuwa na vyote ssd na dual chanell ram
asante sana chief, binafsi sichezi kabisa games, natumia sana pc kwenye browsing, huwa nafungua tans nyingi, nilipobakia na single ram 8gb ndio nikaona pc imepungua speed.

mawazo yangu ya ziada

ila mkuu kumbuka kwamba hii ram huwa inachukua mafaili kutoka kwenye hard disk, endapo hard disk ikiwa na speed ndogo mfano hizi hdd speed ya kuingiza mafaili kwenye ram inakua ndogo ila ram ikibeba mafaili kutoka kwenye ssd yenye speed kali system nayo si inapata kasi ?

kwenye hard disk hizi data zinatunzwa kwenye visahani vinavyozunguka, kuna vichwa vipo juu yake ndio inabidi viwe vinahama kila muda ili ku acces mafaili. hili zoezi lipo mechanical sana na linachangia speed kuwa ndogo tofauti na ssd zinazo access mafaili randomly bila kuhusisha vifaa vya ziada kuhama hama
 
asante sana chief, binafsi sichezi kabisa games, natumia sana pc kwenye browsing, huwa nafungua tans nyingi, nilipobakia na single ram 8gb ndio nikaona pc imepungua speed.

mawazo yangu ya ziada

ila mkuu kumbuka kwamba hii ram huwa inachukua mafaili kutoka kwenye hard disk, endapo hard disk ikiwa na speed ndogo mfano hizi hdd speed ya kuingiza mafaili kwenye ram inakua ndogo ila ram ikibeba mafaili kutoka kwenye ssd yenye speed kali system nayo si inapata kasi ?

kwenye hard disk hizi data zinatunzwa kwenye visahani vinavyozunguka, kuna vichwa vipo juu yake ndio inabidi viwe vinahama kila muda ili ku acces mafaili. hili zoezi lipo mechanical sana na linachangia speed kuwa ndogo tofauti na ssd zinazo access mafaili randomly bila kuhusisha vifaa vya ziada kuhama hama
Ni sawa ila ssd haitakusaidia kufungua Tab nyingi, Ram inahusika. Hizo tab zako haziwi stored kwenye Hdd unless ni Cache,

Pia si kila ssd ina speed kali, Unahitaji Nvme ssd ili kupata speed ya maana over Hdd. Tofauti kati ya hdd nzuri na ssd mbaya ni ndogo around 160MBps na 200MBps.

Pia hdd zina trick zake kama kutumia faster cache ama optqne storage kuzipita speed sata ssd.
 
SSD zipo brand nyingi kwasasa na ufanisi ni tofauti pia specs ni tofauti.

Kwa 120,000/= unaweza kupata SSD ya 1TB hiyo hiyo 120,000 unaweza kupata SSD ya 256GB kulingana na specs.

Nilinunua Kingston 500GB KC2500 Nvme M.2 kwa 170,000 au 180,000 hivi, japo zilikwepo za hadi 1TB kwa bei chini ya hapo, kinachotofautisha bei ni specs. vitu kama read/write speed, PCIe gen.
 
Back
Top Bottom