Rais wa Marekani, Joe Biden ameilaani sheria mpya iliyotiwa saini na Rais wa Uganda, Yoweri Museveni dhidi ya vitendo vya ushoga na kusema kuwa Marekani inaweza kuiwekea Uganda vikwazo huku akitoa wito wa sheria hiyo kufutwa mara moja.
Sheria hiyo mpya itawalazimu Watu wanaoshirki kwenye...
Wakuu twende taratibu.
Wale mababu zetu wakifufuka leo watakufa haraka kwa mshituko maana hawatoamini watakayoyaona,
Kwanza watakuta mapambano dhidi ya wazungu ili kutetea ardhi yao ya asili hayapo tena na kiufupi ardhi mzungu anafanyia chochote anachotaka tena kwa kukaribishwa na kupewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.