kitanda

  1. C

    Kitanda kikubwa huchangia mahusiano ya ndoa kudorora

    Kuna mdau anasema bora avunje vunje kitanda chake cha sasa maana anaona tofauti kubwa kati kitanda kikubwa na kidogo. Anasema alipooa alikuwa anatumia kitanda cha futi 4 kwa 6 na walikuwa hawakai kipindi kirefu bila kupatana na mke wake ikiwa wamehitilifiana tofauti na sasa. Anasema akiwa...
  2. dealkubwa

    INAUZWA Nauza kitanda cha chuma bei nafuu

    Nauza kitanda. Bei laki na 20 (120,000/=). Nipo Banana Ukonga. Namba yangu ni 0712505049.
  3. The Spirit of Tanzania

    Hiki kitanda kinaweza kutengenezwa hapa Tanzania?

    Amani iwe nanyi wapendwa; Naomba kujua kama kuna fundi anatengeneza kitanda cha aina hii hapa Tanzania na bei yake pia;
  4. Carleen

    Kitanda kizuri kinauzwa 5*6, bila godoro

    Habari, Kitanda kinauzwa 5*6, bila godoro, hakina tatizo lolote na sababu ya kukiuza ni muhusika anahama mkoa kikazi, Location ni Mbezi beach, Bei yake ni 250K, No. ya simu whatsap ni 0764-955-657 na call ni 0686-816804..!!
  5. R

    INAUZWA Kitanda kinauzwa cha kizamani kinafaa kwa shambaboy au anayeanza maisha

    Habari Kitanda cha kizamani 4*6 mninga na godoro lake naviuza kwa pamoja elfu 70. Kipo Kigamboni mbele ya Kibada. Godoro halijachoka lipo safi. Nimeambatanisha na picha. Mawasiliano 0622 426120.
  6. C

    Je, ni Mbao gani nzuri kwa ajili ya kuchongesha kitanda?

    Wakuu kwa wale wataalamu wa furniture, hivi ni mbao gani nzuri kwa ajili ya kuchongesha kitanda. Maana kuna kitanda fulani nilinunua, sasa kile kitanda kishaanza kuliwa na wadudu. Yaani kishaanza kumwaga unga unga fulani hivi. Sasa, kwa mwenye experience na hivi vitu labda anaweza kushare...
  7. Excel

    INAUZWA kitanda cha mninga kinauzwa Tabata Dar es salaam

    Hiki kitanda kizuri sana mbao zake ni imara. Size ni 6*5 Bei ni 140,000 Eneo: Tabata Aroma Mazungumzo zaidi 0744033555
  8. Erythrocyte

    TRA yazindua kodi ya kitanda kutoka kwa Watalii

    Kamishna Mkuu wa TRA Dkt. Edwin Mhede amepokea orodha ya huduma za malazi iliyoboreshwa 2020 kutoka kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Aloyce Nzuki ili kuiwezesha TRA kukusanya tozo ya Kitanda Siku kutoka kwa Watalii wanaotumia huduma za malazi. Hii ni katika harakati za...
  9. C

    INAUZWA Kitanda, godoro, kabati na sofa

    vinauzwa vipo dar kitanda 6*6 100,000 godoro 80,000 kabat 180,000 sofa 65,000 piga/tuma sms 0625618177
  10. Suley2019

    INAUZWA Kitanda na godoro vinauzwa Kimara Baruti

    Kitanda cha chuma Futi 4 kwa 6 pamoja na godoro lake vinauzwa . Bei Shiling laki tatu 300,000/= Mawasiliano: 0623 325 015 Location: Kimara Baruti, Dar es Salaam Karibuni
  11. kavulata

    Uchaguzi 2020 ni Uchaguzi wa mtaa kwa mtaa na kitanda kwa kitanda

    Kila mtu Kuna vile anavyotaka awe navyo chumbani kwake, nyumbani kwake, na mtaani kwake anakoishi ambavyo vinategemea na Ni chama na kiongozi gani anayeongoza Mtaa, Kijiji, Kata, Tarafa, Wilaya, Mkoa na Taifa. Watu safari hii hawatapiga kura za jumla jumla Kama zamani Bali watajipigia kura wao...
  12. salehek

    Kitanda 5*6,kinauzwa

    Mambo vp, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza kitanda ni cha mbao 5*6 na bado kipo katika hali nzuri. Kinapatikana Buguruni Malapa. Bei 230000/=
  13. 5

    Mnalionaje hili la wakati wa kudamshi bado sekunde chache mtoto anaamka anataka kuanguka kitanda

    Nimeona nililete hapa kwa wataalamu wa mambo yetu kwa wale walio kwenye ndoa labda tayari wameshapata mtoto 1 ivi au zaidi. Kuna wakati unakuwa na hamu sana na mama watoto mpaka unafika ule wakati unakuwa upo kileleni labda bado kama sekunde kadhaa kukamilisha taratibu mtoto anaamka na...
  14. Kim12

    INAUZWA Kitanda cha 5 kwa 6 tsh 60,000/=

    Kipo Mbezi mwisho Bei ni Tsh 60,000/= Kwa anaye hitaji call: 0783 139304
  15. YEHODAYA

    Kijana anayeanza maisha usinunue godoro nunua mkeka huo huo kiti huo huo kitanda

    Vijana wengi kuanza maisha hupata shida waanzaje. Tafuta elfu tano nunua mkeka huo huo utautumia Kama kiti Cha kukaaa wewe na wageni wako na hapo hapo ujautumia Kama kitanda kulala usiku.
  16. simon baker

    INAUZWA Kitanda na Godoro vyote vipya vinauzwa mbeya (4*6) 150k

    Habari... nimehama mbeya, nimeacha kitanda na godoro 4*6 nimetumia mwezi mmoja(20days)... bei 150k fixed... karibuni..kama utahitaji kukiona tiwasiliane 0742900511
  17. isackjr

    Kitanda na godoro lake

    Kitanda kinauzwa na godoro lake kimetumika Miezi mitatu tu Call 0673864333
Back
Top Bottom