KAWE, virtual and VHF digital channel 9, is a Public Broadcasting Service (PBS) member television station licensed to Bemidji, Minnesota, United States. The station is owned by Northern Minnesota Public Television, Inc. KAWE's studios are located on Grant Avenue Northeast in Bemidji, and its transmitter is located southeast of Blackduck, Minnesota.
KAWB (virtual channel 22, UHF digital channel 28) in Brainerd operates as a full-time satellite of KAWE; this station's transmitter is located near East Gull Lake, Minnesota. KAWB covers areas of central Minnesota that receive a marginal to non-existent over-the-air signal from KAWE, although there is significant overlap between the two stations' contours otherwise. KAWB is a straight simulcast of KAWE; on-air references to KAWB are limited to Federal Communications Commission (FCC)-mandated hourly station identifications during programming.
The two stations are collectively branded as Lakeland PBS. The network first took to the air on June 1, 1980 and was formerly known as Lakeland Public Television; it re-branded on January 8, 2018 to better align its brand with PBS. It is the only full-power television broadcasting operation based in north central Minnesota, an area that is served mainly by translators of the Minneapolis–Saint Paul television stations.
Lakeland PBS utilizes KAWB's channel 22 position on DirecTV and Dish Network's Twin Cities local lineups to avert confusion with Fox owned-and-operated station KMSP-TV (channel 9) in Minneapolis.
Salaam Wakuu,
Alfonce Peter Swai, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Serikali ya Mbwenitete iliyopo Mbweni, Kawe Wilaya ya Kinondoni Mkoani Dar Es Salaam, ameomba Wadau wa Elimu kusaidia Shule kwani ina Ufaulu Mzuri pamoja na Changamoto zilizopo.
Amesema Komputa ni Somo lipo kwenye Mtaala...
Baada ya Jamii Forums kuripoti kuhusu Soko la Kawe kuwa chafu kutokana na mvua zilizonyesha hivi karibuni Jijini Dar es Salaam, mamlaka zimeanza kuchukua hatua ya kufanya usafi sokoni hapo.
Barabara ya kuelekea sokoni hapo imeanza kufanyiwa marekebisho ya kuwekewa vifusi, ambapo awali kulikuwa...
Kutokana na mvua kuendelea kunyesha mara kwa mara Jijini Dar es Salaam hali ya usafi katika Soko la Kawe imekuwa siyo nzuri, mazingira haya yanatajwa kuwa sio salama kwa watumiaji sokoni hapo na wakazi wa maeneo ya Kawe.
Soko hilo lipo katika Jimbo la Kawe ambalo Mbunge wake ni Joseph Gwajima...
Jana nikiwa katika shughuli zangu za kila siku katika baadhi ya mitaa ya Jimbo la Kawe, nilibahatika kuona viongozi wa CHADEMA wakipita katika baadhi ya mitaa ya Jimbo la Kawe wakiendesha kampeni yao ambayo wameipa jina la Mguu kwa Mguu lengo likiwa ni kuwatembelea wananchi na kwahamasisha...
Hizi fremu ni nyingi sana kama ziko chini ya JW wamefanya la maana sana kuliko kulivyokuwa na pori linatufugia viumbe hatarishi na misitu isiyokuwa na faida.
Yaani ukifika usawa wa Lugalo upande wa kushoto (kama unatoka Mwenge kwenda Tegeta mkono wa kulia) zimejengwa hadi kona ya kwenda kawe...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Simon Sirro, mapema leo amefanya ukaguzi wa ghafla kwenye Kituo vya Polisi cha Stakishari, Tabata na Kawe jijini Dar es Salaam.
IGP Sirro amebaini changamoto ya uhalifu wa uporaji kwa kutumia pikipiki pamoja na makosa ya uvunjaji.
“Nimekuwa nikipata...
Serikali imevunja vibanda vya wafanyabiashara wadogo waliokuwa wanafanya biashara hizo katika stendi ya Kawe. Hali ya kushangaza mabanda hayo yamevunjwa usiku na kwa sasa polisi wanaranda kuona kama kuna ghasia yoyote kutokana na tukio hilo
Japo kuna raia walioathiriwa na tukio hilo kwa vitu...
Wanabodi,
Declaration of interest.
Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niliomba fomu kupitia CCM kuomba kupitishwa kugombea ubunge wa jimbo la Kawe, kwa tiketi ya CCM, ila watu wanaitwa Wajumbe wakafanya yao. Tulikuwa wagombea 176, tunatafuta nafasi moja!, hivyo ilikuwa ni...
Wala siyo Gari nyingi bali ni Nne tu kama siyo Tano tofauti na za Marais ambazo unaweza hata Siku ukakutana nazo zikiwa 43 au 69 kabisa.
Hata hivyo kuna Mwamba Mmoja aliniambia kuwa huo Msafaea wa CDF Gen. Mabeyo ni mdogo hivyo ila waliopo hapo Kiulinzi ni wale Wajuba watupu wa 92KJ kule Sanga...
Huku Mwalimu Mchungaji Mwakasege anaendelea na OKOKA Concert yake na kule EFM Radio wanaendelea na KOMAA Concert yake.
Kwa 'Sound' la uhakika lililosetiwa vyema kujiandaa na KOMAA Concert ya EFM Radio Tanganyika Packers Kawe Kesho ambalo nimetoka Kulisikia kuna uwezekano mkubwa 95% ya Waumini...
Gwajima Atuma Wafuasi wanitukane What's App FaceBook na Twitter.
Tafadhali Msimtukane. Mkishindwa kabisa kuvumilia Mwiteni BIBLIA WEWE au TENZI ZA ROHONI WEWE.
Au mwekee wimbo huu ausikilize.
MIMI NIMEMUULIZA
Kawe ya Askofu Gwajima mzee wa Connection iko vipi?
Alisema akipata ubunge kawe...
Kama ni kweli KEROZENE nitaumia na Kusikitika mno kwani kama kuna mahala ambapo huwa napata Wanawake wepesi na kula nao Uroda kiurahisi na situmii Gharama yoyote ile ni wa hapo Kwake Mtume Mwamposa Tanganyika Packers Kawe.
Tafadhali Serikali kama Minong'ono hii ni ya Kweli naomba msitishe...
Lg inch 32
Ina king'amuzi cha ndani kwa ndani (channel 7)
Ina remote control
Ina stand zake za chini
Bei 300,000 fixed
Haina tatizo but nashida nadaiwa kodi
Loc. Dsm kawe
0713096076
TAARIFA KWA UMMA.
Nimefika kituo cha Polisi Mbweni kufuatilia hatma ya dhamana ya BAWACHA na mwanahabari wetu wa Mgawe Tv ndg. Harlod Shemsanga waliokamatwa asubuhi ya leo kwasababu ya kutokuwa na kibali cha kufanya Jogging.
Nimefika Mbweni Polisi saa 9:20 alasiri hii, mbele ya ofisi ya...
Mapema Leo wakati Rais Samia yupo Tegeta jimbo la Kawe kwa Mchungaji Gwajima akiongea na wananchi na wakazi wa Kawe waliojitokeza kumsikiliza ameongea mengi lakini kati ya hayo ni pale aliposema "Gwajiboy oyeee, tunachanja, hatuchanji? Haya mheshimiwa gwajima endelea"
Kwa kauli hii Spika na...
Tukio liko mubashara ITV
Rais Samia akiwa na mbunge wa Kawe wanahutubia wananchi wa jimbo la Kawe eneo la Tegeta manispaa ya Kinondoni.
Kwa sasa askofu Gwajima amepanda kwenye gari ya Ikulu na anatoa salamu za shukrani kwa Rais Samia kwa niaba ya wananchi.
Gwajima anasema wananchi wa Kawe...
Mategemeo ya wana Kawe kuwa wamepata mkombozi atakayewatetea juu ya kero za jimbo la Kawe zimeanza kuporomoka kwa kasi ya ajabu.
Wengine wanasemma kawe tuna mkosi , katika kupata wabunge wa kututetea.
Wana Kawe wengi wanajiuliza Askofu Gwajima ataingia ofisi ipi ya serikali kuipiia magoti ili...
Bwana Yesu apewe sifa!
Kamati ya haki, maadili na madaraka ya bunge leo itaendelea kumuhoji askofu Gwajima kwa tuhuma za kusema uongo na kulivunjia bunge heshima.
Je, Askofu Gwajima atakwenda na kiti chake au atasimama?
Mungu ni mwema wakati wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.