block

A block of the periodic table is a set of elements unified by the orbitals their valence electrons or vacancies lie in. The term appears to have been first used by Charles Janet. Each block is named after its characteristic orbital: s-block, p-block, d-block, and f-block.
The block names (s, p, d, and f) are derived from the spectroscopic notation for the value of an electron's azimuthal quantum number: sharp (0), principal (1), diffuse (2), or fundamental (3). Succeeding notations proceed in alphabetical order, as g, h, etc.

View More On Wikipedia.org
  1. Abtali mwerevu

    Dora Block: Mateka wa Israel Aliyesahaulika Entebbe

    Jina ni Dora Bloch na siyo Dora Block kama ilivyoandikwa katika kichwa cha habari hapo juu. Na: Mwalimu Makoba Mapema tarehe 28 mwezi Juni mwaka 1976, ndege ya Air France ilitekwa na kikundi cha Popular Front for the Liberation of Palestine na kuilazimisha ndege hiyo itue katika uwanja wa...
  2. Mathanzua

    The growth of BRICS by inviting new members is welcome, but the block needs to be careful

    The growth of BRICS by inviting new members is a welcome development,but the block needs to be carefully because the West may use members to sabotage it. 24 Aug, 2023 The 15th BRICS Summit in South Africa has finally concluded but a lot of murmurs are making their way through the media. Most...
  3. M

    Malisa GJ huna uhalali wa kumlalamikia Nape kuku-block. Wewe ni kinara wa kupiga block

    Leo kwenye post ya kada wa chama cha Mbowe ndugu Yericko Nyerere nimeona post inayoelezea kada mwenzie Malisa Godlisten akilalamikia kulamba Block toka kwa Mheshimiwa Nape huko Twitter. Mimi sifurahishwi kabisa na mambo ya watu kupigana block mitandaoni kwasababu ni mwanzo wa chuki na upotevu...
  4. GENTAMYCINE

    Nimeambiwa Simba SC wakitumia Low Block na Counter Attack Wydad Casablanca FC anatupeleka Semi Finals CAFCL

    Nami GENTAMYCINE nauliza je, wakiongezea na High Pressure yaani tucheze Mifumo yote Mitatu ya Low Block, High Pressure and Counter Attack kwa mfumo wa 4-1-4-1 Mwarabu hatochapika Kwao Mohammed V Stadium Siku ya Ijumaa na Mnyama ( Simba SC ) kutinga kwa mara ya Kwanza CAFCL Semi Finals? Karibuni...
  5. Crocodiletooth

    Hollow block maker machines

    Habari wadau wapi naweza pata hii mashine ya kufyatulia tofali zenye matundu katikati, msaada mwenye kufahamu zinakopatikana kwa Tanzania.
  6. Equation x

    Nilivyomtamani rafiki wa mpenzi wangu, na kuambulia 'block'

    Siku moja, nimejichokea zangu mida ya saa nne usiku, nikaamua niende 'club' nikapate 'vibe' la kule ili niweze kuondoa 'stress' za maisha. Muhudumu akaniletea bia zangu tano za kuanzia, nikazinyonya zote zikaisha; akaniongeza tena zingine. Baada ya kufika ya nane, akili ikahama, nikajiuliza kwa...
  7. Dr Count Capone

    Umewahi kuchezea block toka kwa mpenzi wako? (Ushuhuda)

    Waungwana shida ziko palepale! Twendeni kwenye mada Nafikiri sote humu tushakuwa kwenye mahusiano kwa muda fulani, na kila mahusiano yana vimbwanga vyake, asikwambie mtu kila mahusiano yana changamoto zake. Sasa hapa tunajadili kama uliwahi kuchezea blocki toka kwa mpenzi wako iwe ktk Harakati...
  8. M

    DOKEZO Waziri Mkuu okoa wananchi wa Dodoma jiji D Center Makole. Wanadhulimiwa haki yao, wapewa fidia eneo ambalo kumbe mali ya MSD medeli AC Block 157

    Kichwa cha habari cha jitosheleza ,wananchi wa makole D center halmashaur ya jiji walihamisha kupisha mradi wa stendi ndogo na kituo cha biashara ndogo ndogo za ujasiliamali. Mwanzo walitakiwa kufidiwa kwa malipo ya hela ila halmashauri wakasema fungu lililotengwa lilichukuliwa tena serikali...
  9. D

    Block emails usizozitaka kirahisi.

    umekuwa ukipata rundo la emails usizozitakaka kwenye gmail yako? hiii huwa inachukiza sana unapopokea emails ambazo hazihusiani na mambo yako kabisa leo nitakufundisha namna rahisi sana ya kuziblock zisikufikie tena. kama ni mtumiaji wa gmail fuata hatua hizi chache.. 1.fungua gmail yako, 2...
  10. Kitomai

    House4Sale 1bdrm and Studios Block of Flats in Upanga for Sale

    A block of apartments at Upanga area consisting of 11units of studios and 1br; studios 5 units at tsh750,000k@, 1br 6units at Tsh850,000k@ total monthly income is tsh8,850,000mil and currently has no one vacant left. It's single storey building on 1000 square meters plot on a tarmac, ample...
  11. Influenza

    Visa, Mastercard zazuia Taasisi kadhaa za Kifedha za Urusi kutumia mifumo yao

    Kampuni za malipo ya kifedha za Marekani, Visa na Mastercard zimezifungia Taasisi kadhaa za Kifedha za Urusi kutumia huduma zake ikiwa ni sehemu ya vikwazo kwa Urusi Aidha, Kampuni hizo zimeahidi kutoa Dola za Kimarekani Milioni 2 kila moja kwa ajili ya kusaidia katika masuala mbalimbali ya...
  12. FUTURE HUNTER

    Ushauri juu yaKununua Tofali za Block

    Wakuu,Heshima kwenu nyote. Kwanza kabisa nishukuru kwa namna mnatoa madini katika jukwaa hili la ujenzi Kila siku.Hii inatia hamasa kwa mtu anaetamani kujenga. Leo nilienda kutembelea sehemu wanapouza Tofali na Bei zimekaa kama ifuatavyo. 1.Ratio ya Tofali 40 -1200 kwa Tofali. 2.Ratio ya tofali...
  13. Granted Faith

    Haya mambo ya kublock wapenzi wenu ni ushamba narudia tena ni ushamba

    Haya Mambo Kublock Wapenzi wenu ni Ushamba Unakuta Mna Kaugomvi Kadogo tuu ila Mnalimana block kila sehemu then baada ya mda mnapatana then Mnajiunblock huo ni Ushamba na Upumbavu, utoto na uzwazwa. Mambo ya Kublock ni ya Kishamba na ya Kipumbavu sana.
  14. Kapepo

    Naamka nakuta kaniblock

    Habari wakuu, Nina mpenzi wangu ambaye nampenda kweli yaani, sasa tumeongea usiku huu kwenye saa mbili hivi akasema atanicheki, ikabidi nijipumzishe naamka usiku huu nakuta nimechezea block bila kujua nini chanzo dah, haya mapenzi haya dah [emoji1787]
  15. S

    WhatsApp has sued the Indian government in a bid to block new rules

    Inakuwa kama amini usiamini ,kumbe inawezekana na wenyewe wamelivalia njuga. Ni wangapi wamekamatwa kupitia meseji za wasapu hapa Tz na polisi wakijigamba, tena meseji zenyewe ni none-sense basi tu wakiwakamata watu ili waonekane na yule baba kuwa wapo imara,kumbe sheria haiwaruhusu. ======...
  16. Kasomi

    Yuko wapi sasa?

    Aliye niblue tick WhatsApp akani mute hadi status, akaweka dislike kwenye bio. Yuko wapi sasa? Hakunijibu sms nilivyo mu DM instagram wala nilivyo mu PM kwenye social network zingine. Yuko wapi sasa? Aliye niblock kwenye simu ili nilimpigia au kutuma sms zisimufikie. Yuko wapi sasa?.
Back
Top Bottom