binti

Binti Jua (born March 17, 1988) is a female western lowland gorilla in the Brookfield Zoo, in Brookfield, Illinois, outside of Chicago, US. She was involved in an incident in 1996, in which she tended to a three-year-old boy who had fallen into her enclosure.
Binti Jua (whose name means "Daughter of Sunshine" in Swahili) is the niece of Koko, a gorilla whose linguistic accomplishments have been the subject of several scientific studies. Her mother, Lulu, was originally from the Bronx Zoo and died on January 24, 2011, after residing at the Columbus Zoo and Aquarium. Her father is Sunshine, from the San Francisco Zoo.

View More On Wikipedia.org
  1. Analogia Malenga

    Kigoma: Wamuua binti kwa kipigo wakimlazimisha kuolewa ili wapate ng'ombe

    JESHI la Polisi Mkoani Kigoma linawashikilia watu watatu akiwemo baba mzazi Kulwa Juakali (40) Mkazi wa kijijicha Lufubu wilayani Uvinza kwa tuhuma za kumpiga fimbo mtoto wake Mbaru Juakali (17) hadi kusababisha kifo huku chanzo cha tukio hilo kikidaiwa kuwa ni kumlazimisha mtoto huyo kuolewa...
  2. FaizaFoxy

    Binti wa Bill Gates, waliosema hayawi sasa yamekuwa...

    Niliwahi kuleta habari humu, hii: Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam Sasa yamekuwa kweli... Mtakufa navyo vijiba vya roho.
  3. Robert Heriel Mtibeli

    Mke wako ni Abigael wa leo? Au je, umemuandaaje binti yako kuwa kama Abigael?

    JE MKE WAKO NI ABIGAEL WA LEO? AU JE UMEMUANDAAJE BINTI YAKO KUWA KAMA ABIGAEL? Anaandika Robert Heriel, Tena hakuna kitu kizuri na kinachopendeza kama mwanamke, mwanamke ni ua katika miiba, ni dhahabu katika matope; naye apataye mke mwema ameyapata maisha yake na kuyaokoa walakini akosaye...
  4. Sky Eclat

    Mapenzi ya binti kwa baba yake yalisaidia kumtoa baba gerezani

    Ilitokea huko Ufaransa, wakati wa utawala wa Louis XIV, huyu baba alihukumiwa kufia gerezani kwa njaa kosa lake aliiba mkate. Mtoto wake akiyekua ananyonyesha alikwenda kumtembelea baba yake kila siku. Akifika anampa baba yake maziwa yake anyonye. Baada ya miezi minne walishangaa kumuona mzee...
  5. Jimmy ally

    Sipendi kuzungushwa na mabinti ninaowatongoza

    Habari wazalendo, Mimi sipendi kuzungushwa na hawa watu wanaojiita pisi kali, yaani unamtafuta anakuzungunsha wakati ndio atakula pesa yako yaani nitafute pesa kwa shida halafu nikubebeleze uje kula pesa zangu. Nikikutongoza siku tatu haueleweki nafuta na namba, dunia ituzungushe nawe...
  6. uran

    Nitakosea nikiendelea na huyu Binti? Roho inaniuma sana

    Wakuu ngoja niende kwenye pointi. Last week nilipata safari ya kikazi huko mkoani, nipo kwenye Ofisi mpya kidogo kwangu. Sasa kama kawaida nimefika up country siku mbili Tatu nikapata mwenyeji Binti, graduate wa chuo kikuu mwaka jana 2020. Ni jioni moja tulivu napita sehemu namkuta binti na...
  7. Gluk

    Ni zipi faida za utaratibu huu wa kuchumbia binti bila kuongea naye?

    Habari zenu wanaJF, Kama mjuavyo baadhi ya madhehebu hususani haya ya kipendekoste wana utaratibu wao wa kuchumbia ambao sharti uanze kwa mzee wa kanisani kumuelezea dhamira yako juu ya binti ambaye umempenda kabla hata hujaongea naye. Sasa hapa kanisani kwetu kuna binti mmoja nimemchunguza...
  8. MEK_TZ

    Kwanini mwanaume anapiga goti anapomvisha pete ya uchumba binti?

    Wakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu. Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani. Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,? Msaada kwa wajuzi wa haya...
  9. uran

    Natafuta Binti (Dada wakusaidia Kazi) Awe na Sifa hizi

    Habari. Natafuta binti wakusaidia kazi kidogo za ndani. Awe na Umri at least kuanzia miaka 20 nakuendelea. Akiwa amefika Kidato cha Nne itapendeza sana. Aweze kuishi kirafiki kabisa, Nyumba ina Watu Wawili tu! Means yeye atakuwa watatu. Atalipwa Tsh. 100,000/= kwa Mwezi. + Posho (kulingana na...
  10. F

    Pele kuruhusiwa kutoka hospitalini baada ya opereshen nakuonesha furaha kubwa

    hapa akiwa na binti yake. hapa akichekeasha yuko tayari kucheza dk 90 na extra time.
  11. Abraham Lincolnn

    Niliingia kwenye mahusiano na binti wa miaka 19

    Habari zenu wakuu, Nimekuwa na mahusiano na binti mmoja,Ambaye tulikutana akiwa na miaka 18 nikiwa nimemzidi miaka 12 tukaishi naye pamoja (pika pakua) mpaka alipotimiza miaka 19 mapema mwaka huu.Naweza kumsifia kuwa ni binti ambaye hakuwa na makuu wala tamaa maana alinikubali na maisha yangu...
  12. BAK

    Kesi ya kubambikiwa ya Susana binti Hilkia

    Wakuu (viongozi) wawili katika Israeli ya Kale waliamua kumbambikia Kesi Susana Binti Hilkia kwa sababu aliwakatalia mambo yao. Waliamua kumburuza Mahakamani ambako walitoa ushahidi wa uongo na Susana akahukumiwa kunyongwa hadi kufa. Kiongozi wa Mawakili wa Upande wa Utetezi, Wakili Msomi...
  13. Napoleone

    Binti akifikia hatua hii, omba Mungu

    Najua mapema sana ila niko katika wakati mgumu sana na shemej yenu. Huyu binti yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukweli siwezu mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu...
  14. LIKUD

    Je, wajua kwamba Adam alimuoa binti yake wa kumzaa mwenyewe?

    Ndio Maana wamama wenye watoto wa kike binti akisha vunja ungo wanakuwa wakali Sana kuhakikisha hakuna mazoea yaliyo pitiliza kati ya binti na baba ake. Na kama una binti halafu ukaoa mwanamke mwingine ambae si mama mzazi wa binti huyo basi automatically mkeo huyo atakuwa Ana mtreat binti yako...
  15. alcacer

    Kuna binti alinipa namba ya simu ila naona hatoi ushirikiano wa mawasiliano

    Juzi bana katika harakati zangu za kutafuta mchele nikabahatika kukutana na mtoto mzuri kwenye daladala, stori za hapa na pale mara paaaap! Nikaomba namba mtoto akanipa lakini naona ayupo ACTIVE shida itakuwa nini apo au anataka kubembelezwa?
  16. Mzee makoti

    Binti wa umri wa miaka tisa amuuguza Bibi yake kwa zaidi ya miaka Mitatu

    More by this Author Mwanza. Shamsa Yusuph (9) ambaye kwa umri wake anapaswa kuwa shule, amejikuta akikosa fursa hiyo baada ya kulazimika kubeba jukumu la kumhudumia bibi yake mgonjwa aliyelala kitandani kwa maradhi kwa miaka mitatu sasa. Mtoto huyo anayeoonekana kuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa...
  17. alcacer

    Nimeomba namba ya simu kwa binti akanijibu hana simu

    Wiki iliyopita nimebahatika kukutana na mabinti kama watatu, hivi njian kwenye harakati zangu, huku na huku stori za hapa na pale......dakika za mwisho kabisa naomba namba ananiambia sina simu. [emoji117] MaMen tunafanyaje katika hilo suala najua tupo wengi[emoji116]
  18. fundi bishoo

    Naombeni ushauri juu ya huyu binti simuelewi elewi

    Habari zenu wakubwa shkamoni Ni kitambo sana kijana wenu sjaonekana kuanzsha thread ila kwa haya nlokutana nayo imenibd nianzishe uzi iko hivi[emoji116][emoji116][emoji116] mmepitia mengi nyny ndo wataalamu wenyewe naona kama picha hvi yaani daaaah msaada #yesbishoohaswaaaa
  19. Phiz

    Naombeni ushauri juu ya huyu binti

    Kuna binti mmoja nilikuwa nadate naye kwa kipindi flani hivi, ila nikaja kuona kuwa mambo yake hayaeleweki na nikamuweka kando tena nilimwambia kabisa kwamba achukue time zake na mimi nifanye mambo yangu, ila kikapita kipindi flani baadaye akaanza kunitafuta na tukawa tunasalimiana fresh tu ila...
  20. Kifaru86

    Kuna binti nilimuahidi nitamuoa mwaka huu ila bado mambo magumu, nifanyeje?

    Huyu binti nina mwaka nipo nae katika mahusiano na moja kati ya promise niliyomuahidi nitamuoa mwaka huu mambo yangu yatakapokaa sawa Ila mpka sasa mambo magumu. Na binti naye kwao wameanza kumsumbua kwani alishawaeleza ana mchumba anataka kumuoa sasa home kwao mpaka sasa hivi wananisikilizia...
Back
Top Bottom