babati yetu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. I

    Uchaguzi 2020 Jimbo la Babati Mjini kurudi upinzani

    Kuna mambo yanayoendelea kwa wananchi wa jimbo la babati mjini kama tu CCM watafanya makosa na kurudisha jina la Pauline Gekul. Wananchi wengi wanasema wamemchoka Paulina nakusema bora hata Esta Mahawe au achukukiwe mtia nia aliyeshika nafasi ya nne Mwalimu Darabe. Kuna taarifa za chichi chini...
  2. I

    Uchaguzi 2020 Wilhelmon Mayo Kwa Maendeleo ya Babati Mjini

    Mtia Nia jimbo la Babati mjini mkoani Manyara, Wilhelmon Mayo.
  3. I

    Uchaguzi 2020 Wilhelmon Mayo, Mtia nia wa ubunge jimbo la Babati Mjini, Manyara

    Maendeleo na mabadiliko ya Babati yataletwa na kijana wa Babati ambaye anajua ni nini wanababati wamekosa kwa muda mrefu. Pamoja na kuwa anafanya kazi Babati mjini pia ni kijana mzalendo na anayeshirikiana na wananchi katika maisha ya kila siku. Mtu kama huyo ndio anayehitajika na anayetafutwa...
  4. I

    Uchaguzi 2020 Vita kali ubunge Babati Mjini. Nani apewe?

    Hawa ni baadhi ya wanaccm walioonyesha nia ya kugombea Ubunge jimbo la Babati mjini. Je, nani anaweza kuwa kuipeperusha bendera ya CCM?
Back
Top Bottom