al ahly

Al Ahly Sporting Club (Arabic: النادي الأهلي للرياضة البدنية‎, literal translation: The National Club), commonly referred to as Al Ahly, is an Egyptian professional sports club based in Cairo. Al Ahly is the most successful team in Africa and is one of the continent's giants. Its professional football team plays in the Egyptian Premier League, the top tier in the Egyptian football league system, and is the most decorated football club in the world. The club was founded on 24 April 1907, as a gathering place for Cairo's Student Unions.
Al Ahly has a record of 42 national league titles, 37 national cup titles, and 11 national super cup titles, making them the most decorated club in Egypt. In addition, Al Ahly has never been relegated to the Egyptian Second Division.
In international competitions, the club has won a record 10 CAF Champions League titles, a CAF Confederation Cup, a record seven CAF Super Cups, a record four African Cup Winners' Cups, an Afro-Asian Club Championship, an Arab Club Champions Cup, an Arab Cup Winners' Cup, a record two Arab Super Cups, and has won two bronze medals in the FIFA Club World Cup. With 22 African titles, Al Ahly is the most successful football club in African history, and was voted by CAF as African club of the 20th century Al Ahly is the second most successful club in the world in terms of the number of International trophies won with 23 trophies behind Real Madrid.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Yanga komaeni kushinda mechi zenu: Hii ndoto ya kutaka Al Ahly amfunge CRB ugenini ni ndoto ya bafuni wakiwa wanaoga!!

    Namna pekee (the only scenario) ya Yanga kutinga robo fainali ni ya kushinda mechi zake zote mbili zilizobaki dhidi ya CRB nyumbani na dhidi ya Al Ahly wakiwa ugenini! Kama ubavu huo hawana wasahau ndoto za kuingia hatua ya robo fainali!! Kama Al Ahly alishindwa kumfunga CRB akiwa nyumbani ni...
  2. M

    Kuahirisha game ya Al Ahly Vs Belouizdad kuna namna?

    Nimeona bandiko kuwa mchezo huo umeahirishwa, sijajua ni kwa muda gani na ni kwanini. Isije kuwa ni fitina za waarabu wanataka kusubiria mchozo wa Yanga na Medeama ili wajipange naona ya kusaidiana. Nimewaza tu
  3. Petro E. Mselewa

    Klabu Bingwa Dunia: Al Ahly yatota kwa Fluminense, yachapwa 2-0

    Mabingwa wa soka wa Afrika kwa ngazi ya vilabu Al Ahly ya Misri imechapwa mabao 2-0 na mabingwa wa vilabu wa Amerika ya Kusini Fluminense ya Brazil. Fluminence sasa imetinga fainali ya Ijumaa hii na inamsubiri mshindi wa kesho kati ya mabingwa wa vilabu vya Ulaya Manchester City ya Uingereza...
  4. William Mshumbusi

    Sema Ustaarabu umezidi mno ila Mechi ya Yanga na Al Ahly Aziz Ki anakesi ya kujibu

    Kilichotokea kwake kwa wanamichezo ni rahisi tu kusema hakuwa mchezoni. Ila kabla ya Gemu Aziz ki alionekana akiongea na wachezaji wa Al Ahly weusi na kufurahi mno. Wakagonga wakaingia uwanjani. Wanamichezo tunasema fair play. Kwenye gemu sasa. Hakuonesha madhara kabisa. Hata sehemu za...
  5. Malaika wa Misukosuko

    Mechi za CAF Kesho: Yanga ataifunga Al Ahly na Simba atatoa Sare dhidi ya Jwaneng Galaxy, Na Tp mazembe atamfunga Mamelod

    Habari Wakuu, Kuelekea Mechi za CAF CHAMPIONS LEAGUE kesho tarehe 2 December, Matokeo yatakuwa kama Yafuatavyo, Yanga vs Al Ahly (Yanga Atashinda) Jwaneng vs Simba (Itaisha kwa Draw) Tp mazembe vs Mamelod (Tp Mazembe Atashinda ) Mimosas vs Wydad (Wydad Atashinda) Nouadhibou vs pyramids...
  6. Suley2019

    FT: Yanga 1 - 1 Al Ahly | CAF Champions League | Mkapa Stadium | 02.12.2023

    Leo mida ya saa 1:00 jioni inatarajiwa kuchezwa mechi ya pili ya kundi D ikiwakutanisha mabingwa wa kihistoria wa Tanzania (Yanga) dhidi ya Mabingwa wa Kihistoria wa Afrika kutokea Misri (Al Ahly). Mechi inachezwa katika Uwanja wa Mkapa uliopo Dar es Salaam Tanzania. Unafikiri nani ataibuka...
  7. U

    Simba wamesahau mchezo wao na kuwalenga Yanga na Al Ahly tu. Kesho watarudi na "Try Mangungu aondoke!"

    Club ya Simba ni moja kati ya Klabu inayopenda sifa za hovyo na za kipropaganda, kesho Jumamosi Simba inaenda kunyolewa huko ugenini na Galaxy, halafu kesho mashabiki wa mihemko wa Simba kama kawaida yao watarudi kwenye Media na kuanza kusema Mangungu aondoke, Try Again, Saido, Chama, Kapombe...
  8. Tajiri Tanzanite

    Al Ahly waweka wazi Simba ni Club namba moja Tanzania, Yanga ni ya pili

    Hapo vip! Leo ilikuwa nawasikiliza waandishi wa habari walijaribu kuwahoji wachezaji wa ALLy Ahlly dhini ya kujuaa ukubwa wa Simba cl na yanga. Wachezaji wa Ally Ahly wamesea hawajawahi kukutana na yanga kwasababu ni timu ndogo ila kwa tanzania ni maarufu,wakasema timu kubwa wanaoijua Tanzania...
  9. Buenos Aires

    Ujumbe wa mashabiki wa Afrika Al Ahly kwa Palestina

    Kwa roho na Damu Tunakufidia Palestina (Mashabiki wa Timu ya Al Ahly ya Misri) Watu wenye huruma na utu, ningefurahi sana kuona pia timu zetu zikifanya kama ilivyo kwa al ahly, Allah awajaze kheri hao ndugu zetu waislamu. Nilitamani sana muibuke na ushindi dhidi ya mamelodi, lakini kwa bahati...
  10. David Harvey

    Kocha wa Al Ahly, Marcel Koller: Yanga ndio timu tunayoitizamia kwa sasa

    Amenukuliwa na gazeti la African magazine sports kwamba kwa sasa katika group lao timu wanayohiofia ni young africa sport, alihojiwa kuhusu CR Belouzdad na Medeama akasema vijana wa yanga Africa wapo vizuri zaidi ya hao na wasipokuwa makini wanaweza kupoteza game zote home/away. Mbali zaidi...
  11. Petro E. Mselewa

    Simba walibahatika kupangwa na Al Ahly AFL

    Kwa huu mpira wa fainali ya AFL mkondo wa kwanza ninaoushuhudia hapa, nathubutu kusema Simba walibahatika kupangwa na Al Ahly. Simba na wenzao wote wanacheza mpira wa taratibu. Wote wana wachezaji wazito. Hakika, kama Simba angepangwa na Wydad au Mamelodi hii, tungepata aibu ya kitaifa. Wababe...
  12. vibertz

    Kilichotokea leo ndicho ambacho Al Ahly walikuwa wakifanye kule Cairo na Dar

    Matokeo yalikuwa yanawapumbaza mashabiki na kujisifia pira objective ilihali timu kupata clean sheet ni mbingu na ardhi. Mpira objective unaanzia kwanza kutoruhusu goli ovyo ovyo. Mechi dhidi ya power dynamo ilikuwa ni tahadhari ya timu ielekeapo lakini matokeo yakawapumbaza watu, kisha Al Ahly...
  13. Majok majok

    Ujumbe kwa Al Ahly: Yanga inawasubilia kwa hamu na boli litatembea na kitapigwa kweli kweli

    Nimeishuhudia Aly ahly kwenye mechi takribani 4 za kiushindani na nilitaka nijiridhishe zaidi kimbinu na kiufundi namna awa mabingwa wa kihistoria wa afrika wanavyocheza kwa sasa, na nilisubilia mechi kabambe ya kiushindani dhidi yake na mamelod! Nilitaka nione ni namna Gani wanacheza kwenye...
  14. Scars

    Full Time: AFL: Al Ahly 0-0 Mamelodi Sundowns (Agg 0-1) | Cairo International Stadium | 01.11.2023 |

    Baada ya 1st leg kumalizika kwa Mamelody kuibuka na ushindi wa bao 1-0 leo ni mchezo wa pili wa marudiano. Mechi inayarajiwa kuwa ngumu kwa dakika zote. Muda wa mechi ni 21:00 Kikosi cha Al Ahly Kikosi cha Mamelodi Mchezo una kasi, Al Ahly wanapambana kutafuta goli la kusawazisha kwa kuwa...
  15. GENTAMYCINE

    Baada ya kuwaona Al Ahly FC dhidi ya Mamelodi Sundowns FC leo je, GENTAMYCINE niliposema kuwa Yanga SC itawafunga Dar na Cairo nilikosea?

    Na kwa Kujiamini kabisa na leo tena narudia kusema (najua wana Simba SC Wenzangu mtaumia) kuwa kwa Al Ahly FC hii hii niliyoiona ikicheza hovyo dhidi ya Simba SC hapa Dar na Cairo na ilivyocheza leo na Mamelodi Sundown FC huku Kiwango chao Kikipungua itaenda Kufungwa na Yanga SC ambayo kwa sasa...
  16. Scars

    FT: AFL: Mamelodi Sundowns 1 Vs 0 Al Ahly | Stadium: Loftus Versfeld | 29.10.2023

    Mechi ya kwanza ya nusu fainali inayowakutanisha wapinzani wawili Al Ahly na Mamelody. Kwenye h2h takwimu zinambeba Mamelody Mechi 5 za mwisho walizokutana, Al Ahly hajapata ushindi wowote zaidi ya kuambulia sare. Mamelody kashinda mechi 3 huku mechi 2 zikiisha kwa sare Leo tutaenda kuona...
  17. GENTAMYCINE

    Kiufundi kwa Yanga SC niionayo sasa Kiubora na Spirit ya Wachezaji wake ikibaki hivi hivi Al Ahly FC anakufa Dar na Cairo

    Ukiuangalia Uchezaji wa Simba SC yangu na wa Watani zangu Yanga SC utaona tofauti Kubwa mno na ndiyo maana GENTAMYCINE leo sioni Aibu wala Siogopi kusema kuwa kwa Yanga SC hii ya sasa na nilivyowaona Al Ahly FC kwa Mechi zao Mbili hizi walizocheza na Simba SC nawaona Yanga SC wakikutana nao...
  18. Best Daddy

    GUMZO: Al Ahly ageuka kibonde baada ya mechi na Simba

    Je, Simba SC kutolewa na Al Ahly SC ilipaswa kuwa story kubwa?. Majibu ya swali hili yanaweza ibua mijadala mingi sana, ambayo si yataleta tofauti kwa mashabiki (watu kushikana mashati) bali italeta hisia tofauti kuanzia kwa ngazi ya uwekezaji, uongozi hata wachezaji kwa ujumla. Lakini kuna...
  19. Kilimbatz

    Simba njoeni mjifunze kwa Mamelodi Sundowns jinsi ya kumtindua Al Ahly

    Mapema mwaka huu Al Ahly walitukwepa Na kidondokela wakachukua kombe la CAF CL dhidi yaWydad Na jana refa akawa anafanya kila mbinu ili mtukwepe tena kwa kumpa a straight red card beki wetu kisiki M.Mvala ili mpate kamserereko kwa Atletico de Luanda Mungu si Selemani,tumekutana Enyi Simba...
  20. Kilimbatz

    Simba njoeni mjifunze kwa Mamelodi Sundowns jinsi ya kumtindua Al Ahly

    Mapema mwaka huu Al Ahly walitukwepa Na kudondokela wakachukua kombe la CAF CL dhidi ya Wydad Na jana refa akawa anafanya kila mbinu ili mtukwepe tena kwa kumpa a straight red card beki wetu kisiki M.Mvala ili mpate kamserereko kwa Atletico de Luanda Mungu si Selemani, tumekutana. Enyi Simba...
Back
Top Bottom