jana kuna baadhi ya wabunge wanataka kikundi cha baikoko aka khanga moko kifungiwe eti kinapotosha maadili ya mtanzania...hawa jamaa vipi shida zote hizi tulizonazo watanzania wanafikiri tutajiliwaza wapi?khanga moko wanatuburudisha na kutuliwaza vizuri sana...Jamani msitunyang'anye hata hiki...
Serikali inampango wa kutumia kiasi cha shillingi 42billioni kwa mwezi ili kuepuka mgao wa umeme unaotegemewa kuanza hivi karibuni...matumizi haya ni kwa muda wa miezi sita
Source:
Tweet from Zitto Kabwe..
Leo asubuhi nilikuwa ninamsikiliza msemaji wa TCRA akielezea kubadilishwa kwa mfumo kutoka analojia kwenda digitali huku akifafanua kwamba tunahitaji kuwa na ving'amuzi ili tuweze kuona chaneli mbalimbali kwenye runinga zetu.Nashindwa kuwaelewa hawa mabwana kuhusu kutuangalia sisi wa kipato cha...
Waheshimiwa wabunge wana allowance in total amounting to 5,000,000/= ambazo hazitozwi kodi...Well kwanini waheshimiwa msifikirie kutoza Kodi kwenye hizi allowance kama kweli mna nia ya kutusaidia sisi wananchi?.
Mfano 5,000,000/= kodi yake ni 1,396,500*356(Idadi Ya wabunge)=497,154,000/= hii ni...
Jana katika kipindi cha kusikiliza mapendekezo ya bajeti Waziri wa Fedha alisema kazi za wasanii zitapitia kwenye mikono ya TRA hii ni hatua kubwa sana ya kuwaingiza hawa wasanii wetu kwenye wigo huu wa kodi ili nao wachangie katika Pato la Taifa Letu..Napenda kumshauri Mh.Waziri kwamba bado...
Jana nilibahatika kuangalia taarifa ya habari TBC na nikaona nape nnauye akiongea kwa mbwembwe kwamba wanaohama CCM ni wanachama wa kawaida na si Viongozi wa CCM..Takfakuri yangu ni kwamba huyu jamaa ameshindwa kufanya analysis ndogo kwamba hawa anaowaita wanachama wadogo ndio wanaoijenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.