Jana katika majadiliano ya Bungeni PM alitoka kauli kwamba Uchakavu utatozwa kwenye magari yaliyozidi miaka 10 na si 8 tena....
..wakati serikali inafanya maamuzi haya ifikirie pia kupanua madampo, kuongeza uwingi wa uchafu ni moja ya effect ya maamuzi haya. Nadhani ni vema angefikiria kupunguza hiyo damping spectrum hata kufikia miaka mitano badala ya kupanua. Kwangu bado ni envirohmental disaster.
sawa kaka,vp paye? liwlo na liwe..\
Naiongeza kwa kuwa sikivu...mangapi yamepandishwa na hayajashushwa?