mwakajila
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 188
- 29
Waheshimiwa wabunge wana allowance in total amounting to 5,000,000/= ambazo hazitozwi kodi...Well kwanini waheshimiwa msifikirie kutoza Kodi kwenye hizi allowance kama kweli mna nia ya kutusaidia sisi wananchi?.
Mfano 5,000,000/= kodi yake ni 1,396,500*356(Idadi Ya wabunge)=497,154,000/= hii ni makusanyo kwa mwezi mmoja kwa mwaka Je?Waheshimiwa wabunge tunaomba mtusaidie katika hili kama kweli mna Uzalendo!!!!
Mfano 5,000,000/= kodi yake ni 1,396,500*356(Idadi Ya wabunge)=497,154,000/= hii ni makusanyo kwa mwezi mmoja kwa mwaka Je?Waheshimiwa wabunge tunaomba mtusaidie katika hili kama kweli mna Uzalendo!!!!