Engineering ni feature nzuri sana hakuna nchi iliyoendelea au itakayoendelea bila kuwa na ma-engineer wazuri especially civil engineers(huyu ndio father of engineering) lakini kwa hapa kwetu vyuo vyetu bado vinamapungufu makubwa mno!! Vyuo vyote naona almost viko sawa tu hapa bongo!!
Sijui kwanini wafuasi wa lipumba humpamba kwa hoja moja tu eti ni msomi hv wasomi wako wangapi nchi hii? Lipumba mwenyewe ana uhakika kuwa hawezi kuwa rais wa TZ lkn sielewi ni kwanini aendelee kuung'ang'ania!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.