Imesikitisha sana kusikika fununu za kunyimwa mikopo kwa wanachuo kwa kozi mbalimbali za sayansi licha ya kipaumbele kilichokuwa kimewekwa na serikali hapo awali.......... wadau mnazungumziaje hili suala, ntawapa fununu zaidi...... siasa kwenye elimi ni uozo usiovumilika jamani