Search results

  1. M

    Fundi simu anayeweza kunirekebishia hii simu anicheck

    Tumia vodacom inakitu inaitwa voice over LTE utaweza piga simu kama kawaida ikiwa 4G.
  2. M

    Mbeya na Kilimanjaro: Siri ya mafanikio yao ni nini?

    siri ni moja hakuna maendeleo bila elimu kwani hufungua macho watu; soma hapa utajua ninachomaanisha The Most Educated Countries in the World - Yahoo Finance; swali linakuja kwa mlio maofisini pengine mnaona uwiano; sasa mjaribu kukokotoa ulinganifu ndio mtaona jibu kamilia na pia muende vyuoni...
  3. M

    Mwamsiku, Wajinga ndio waliwao. (Deni la CHADEMA la P. A Mbeya)

    mbona hatujafika tarehe 16/09/2013 hatujafika jamani?????????????????????
  4. M

    CCM kwa sasa tunakubalika mahala ambapo CHADEMA hawajafika tu

    ccm ni analogia hamieni digital kikubwa watanzania wenzangu ni kukomboa taifu na kukubali sera ya kubadilishana vijiti na hilo ndilo jibu la ukombozi nchini kwani atakaye ingia atawajibika vilivyo saipofanya basi serikali ijayo italazimu kumshitaki na kuwafunga hao wasaliti
  5. M

    mkutano mkubwa wa chadema kufanyika leo maeneo ya jangwani

    kimataifa unaweza kufikiria nini kinachokuja tanzania nini haswa taswira ya mikutano kama hii si pingi ila napenda kuona mageuzi makubwa lakinini mchango wako
  6. M

    mnyika ashinda kesi yake maswali yanabaki nini ulikuwa umuhimu wa kupingwa matokeo halali

    zikiwa zimepita kesi wakaza za kupinga ushindi wa upinzani watanzania tunabaki tunajiuliza nini hasa uwasukuma hawa mabwana kuenda mhakamani na kupoteza hela je ni kuvuruga concentratio ya public au
  7. M

    Diamond ni noma

    anyakua tunzo tatu
  8. M

    wadau nipeni habari kuhusu mchakato wa katiba ukoje

    ni muda sasa sijapata kusikia kuhusu mchakato wakatiba wako wapi wanasheria wetu mtupe ni lipi linaendelea
  9. M

    wanafunzi wasasa full viduku

    inasikitisha sana unapopita saa mbili na nusu au zaidi nakuwakuta eti wanasubiri mabasi enzi zangu bana kumi na moja ndio ulikuwa muda muafaka sasa yanini leo saa mbili na nusu asubuhi ndio mda muafaka hawapendi shule na ndio maana kufeli kumeongezeka wanawaza viduku tuu na sio njia zipi kuwa na...
Back
Top Bottom