Mbeya na Kilimanjaro: Siri ya mafanikio yao ni nini?

kwenye harsh and limited life conditions ndio kunakuwa na maendeleo because you either swim or sink. Europe kuna more harsh conditions kuliko most parts of africa na ndio maana watu wanajituma na kuna maendeleo tunayoyaona.

And this reminds of this joke:
Mzee mmoja wa kichaga aliekuwa mgonjwa kitandani alimuita mtoto wake mmoja wa kiume ambae maendeleo yake kielimu na kimaisha hayakuwa yanamridhisha baba yake. Kijana alipokuja baba yake akamwambia: "mwanangu john, nimekupeleka shule umeshindwa, nimekufundisa wisi umeshindwa. Sasa mimi ninakufa utakula mafi yako!

watanzania tuigeni wachagga.tuna mambo mengi sana ya kuigwa.usafi,hard work,elimu,nyumba bora,miundo mbinu etc.ukifika uchaggani utashangaa.
 
bondjamesbond, awadhi2009, pasco, mchambuzi, nguruvi3,

..nadhani "ujanja" wao unatokana na kilimo cha zao la kahawa.

..mapato ya kahawa yaliwawezesha kuwekeza ktk elimu za watoto wao, kujipenyeza ktk biashara ndogo ndogo na baadaye kuwa wafanyabiashara wakubwa.

..kumbukeni kwamba ndugu zetu toka kilimanjaro ndiyo walikuwa wakwanza kufanya "umachinga"[miaka hiyo ilikuwa ku-shine viatu na kuuza kahawa] mijini baada ya sekta ya kahawa kupata matatizo miaka ya 80.

..kingine kinachowasaidia ndugu zetu wa kilimanjaro ni biashara/magendo ya mpakani na majirani zetu wa kenya.

..tuimarishe korosho, pamba, etc mtaona wenyeji wa maeneo maarufu kwa mazao hayo nao wanaibuka na kuleta ushindani nchini, which is a very positive thing.

pamoja na kuimarisha korosho na pamba muache utamaduni wa kunya porini na kuishabikia ccm.
 
hakuna kama wachagga jamani tuseme ukweli, huko mbeya kwa wanyakyusa mnasema tu lakini hamna kitu, sisi wengine tulishaishi na kufanya biashara huko sana. Shule mbeya bado sana, wanazidiwa hata na watu wa ruvuma na iringa ambao huwa hawajitapitapi kama wahaya na wengine hao. I declare my interest, mimi ni mchagga. Mbeya nenda maeneo ya chunya, hamna shule, wilaya ya ileje hamna shule, tukuyu nako shule kidogo sana, labda wale wa kyela kidogo nao kwasababu wanalima mpunga mzuri hupata hela kuwasomesha watoto. Jaribu kuangalia mikoa ipi tz yenye shule nyingi za secondary, kilimanjaro lazima itakuwa mbele, itafuata iringa, ndio zije zingine, mbeya iko nyuma kidogo kwa wingi lakini kwasababu wanyakyusa ambao ni wachache sana kule mbeya walisoma miaka ila wakajazana shirika la bima (zamani liliitwa shirika la kinyakyusa), basi watu hadi leo kule mbeya wanaamini wasomi wengi wanatoka mbeya tu na sio sehemu zingine. Kule hata msafwa anajiita mnyakyusa. Wahaya walisoma na wanaendelea kusoma sana lakini hawakumbuki kwao, hawajengi kwao, anaishi maisha ya kujionyesha hapa bongo lakini akifa ukitumwa kusindikiza msiba kwao unaenda kulala kwenye mbavu za mbwa zilizooezekwa kwa majani ya migomba.....wachagga wamesoma hadi nyerere aliwapiga vita akashindwa, na wanakumbuka kwao, ukipata hela lazima ujenge kwao ili uheshimike, usivae tu kisharobaro kumbe home vumbi!

kitu cha kusikitisha viongozi wa ccm wanawachukia sana wachagga.nafasi nyingi serikalini wanaondolewa kiainaaina.kwa mfano hakuna waziri hata mmoja mchagga.sasa angalia nchi inavyoyumba.kila kitu kinauzwa kwa wageni.nina uhakika wachagga wangeisaidia sana hii nchi.sio watu wa kubeza.ifike mahali tuambiane ukweli.tungewaiga wachagga badala ya kuwapiga vita tanzania ingekuwa mbali sana.
 
acha fikra potofu, hawakatazwi kuzipeleka popote wanapotaka na isitoshe kilimanjaro kuna fursa nzuri za kuwekeza maana miundombinu ipo umeme, simu+mitandao, benki, maji, barabara, raslmali watu yenye ujuzi na hata town planning! Ndo maana nasisitiza msidharau wengine maana si kihivyo unavyojitamba wewe kiufupi hoja zako zinaonyesha una ulimbukeni fulani! Biashara haipelekwi na fikra kama zako bali fursa za kiuchumi za kuifanya biashara iendelee! Hao wachagga unaowasifia hapa sidhani kama wana fikra finyu kama zako kukaa mtandaoni ukijisifu namna hii! Wanafuata fursa na wanafanikiwa kwa vile hawadharau wengine!

wachagga ni watu tofauti kidogo.siri ya mafanikio yao inachangiwa na mambo mengi.kwanza ni wazalendo kwa maana ya uzalendo.katika ukoo wanapigana tafu sana.kwenye kijiji ni hivyo hivyo.ukienda kimji ni hivyo hivyo.ukienda kitaifa ni hivyo hivyo.wanaupenda mkoa wao.wanaipenda nchi yao.wanawaichukia sana magamba wanavyouza rasilimali za nchi kwa wageni kwa rushwa mbuzi!!ni watu wa kuwajibika.mchagga akipewa ofisi maendeleo yanaonekana na wafanya kazi wanastawi.mnakumbuka keenja alivyokuwa bosi jiji???alikuta uozo.jiji likinuka.mapato hakuna.kilitokea nini???alivyoondoka kilitokea nini???mnamkumbuka marehemu mosha ,aliyekuwa bosi wa tanesco???si ndiye aliyesimamia ujenzi wa mabwawa yote ya umeme??alipigwa vita kishenzi.nini kinaendelea tanesco baada ya yeye kuondoka???kuna john ngatena
aliyekuwa deputy managing director wa ttcl.aliipaisha ttcl kuwa kampuni ya mfano tanzania kimapato na ufanisi!!!!baadaye alinyanganywa ofisi,akapewa ofisi yenye meza tu!!!alijiuzulu kwa kutoa notisi ya masaa 24.sasa nenda ttcl.imeliwa kishenzi.waliletwa watu wanaoitwa 'wawekezaji'. wakakomba hela yote.wakapora na kampuni ya simu za mkononi ambayo sasa inajulikana kama "airtel".kampuni hii iliundwa na wahandisi wa kitanzania mwanzo mwisho. ttcl imebaki magofu ya kihistoria.crdb kuna mtu anayeitwa kimei.nini kinaendelea huko???nadhani hamjamsahau augustine lyatonga mrema,mzee wa kiraracha, alipokuwa waziri wa mambo ya ndani.majambazi walimpelekea silaha na kujisalimisha wenyewe!!!.wachagga sio watu wa kupigwa vita.tukubaliiiiiiiiii.waigeni jamani.ukienda kijijini uchaggani hutaamini utakayoyaona huko.
 
kitu cha kusikitisha viongozi wa ccm wanawachukia sana wachagga.nafasi nyingi serikalini wanaondolewa kiainaaina.kwa mfano hakuna waziri hata mmoja mchagga.sasa angalia nchi inavyoyumba.kila kitu kinauzwa kwa wageni.nina uhakika wachagga wangeisaidia sana hii nchi.sio watu wa kubeza.ifike mahali tuambiane ukweli.tungewaiga wachagga badala ya kuwapiga vita tanzania ingekuwa mbali sana.
Ni kweli yaliyosemwa. Jingine wachaga wivu wao ni kumzidi mwenzie kimaendeleo na si kutumia muda mwingi kuangamizana kwa uchawi.
 
Kusema kweli, uhaba wa ardhi ndiyo issue ya kwanza inayofanya watu wa mbeya na Kilimanjaro wawe na bidii na maarifa katika maisha. Ardhi ni ya kugombania sana, hivyo kilimo au ufugaji peke yake visingeweza kututoa. Ilibidi watu wawe na kahawa kidogo, migomba kidogo, chai kidogo, ng'ombe wachache. Hibi vyote vilikuwa vinasaidiana kusomesha watoto shule ili waende mijini kutafuta kazi na kufanya biashara na kuleta mali nyumbani
 
siri ni moja hakuna maendeleo bila elimu kwani hufungua macho watu; soma hapa utajua ninachomaanisha The Most Educated Countries in the World - Yahoo Finance; swali linakuja kwa mlio maofisini pengine mnaona uwiano; sasa mjaribu kukokotoa ulinganifu ndio mtaona jibu kamilia na pia muende vyuoni mkakokotoe ulinganifu ya kati ya wanaozungumziwa hapa na wengine, nadhani hilo litakuwa kama chachu mojawapo kwa jibu langu hili moja nililolitoa ;pia kwa makabila mengine kwa wakati huu kabila haliwezi likawa linakosa role model wakati wapo katika kabila jingine tujifunze tuchukue hatua na tuache kulalama na kukaa baa na kunywa bia kwa pesa ambayo tungesomesha watoto wetu anza sasa!!!!!!!!!!!!
 
ungekua karibu ningekuchapa makofi, umedanganya kuhusu wanyakyusa. fanya research kaka!
sikumsangaa maana alisema yeye ni mfanyabiashara unategemea atafanya research gani? Alikua anaangalia wauza ndizi,fanya tafiti kwenye mavyuo ndiyo uje na conclution vingenevyo kwa kimya huwajui hao jamaa!
 
Back
Top Bottom