Wee mzee maisha yamekuchangaya 😂 kama kwenye ujana wako hukutafta matokeo yake unakuja kulaumu vijana wenye pesa nyingi kuliko wewe na kuanza kuwahisi ni wezi unasahau kwamba
NAWAULIZA TENA MUNGU MUWEZA WA YOTE ANAWEZA KUUMBA KITU CHENYE MAARIFA NA UJUZI MKUBWA KULIKO YEYE MWENYEWE?? "Can God create something bigger than himself?"
Unaambiwa nyoka akamwambia Hawa 😁😁😂 nyoka alikuwa anaongea bana kwahiyo waliongea lugha gan na kati ndo wametoka kuumbwa ? Na ilikuwaje nyoka akaacha kuongea na binadamu ikiwa laana yake hakuambiwa hatooongea???
Unaambiwa amelaaniwa anayeuona uchi wa mama yake pia unaambiwa mwanaume ukimtaman mwanamke kwa kumuangalia umekwisha kuzini naye kiroho ... Fafanua hayo maandiko ya biblia
Hivi kwaakili ya kawaida tukija kwenye mwili wa binadamu ulivyoumbwa kweli Moyo udunde miaka 800 bila kustop kwahiyo ujana unakuwa kwenye miaka 500 au yan. Sielew growth ya huyu mwanadamu anayeishi miaka 800 mfumo wake unakuwaje kwamba hakui au na kama anakuwa inamaana anakuwa anaukaribia uzee...
Umenifanya niachane na hii thread kwa uongo Pumbavu yani mtu atoe mbuzi dume apate utajiri??? Mbona una uwezo mdogo wa kufikiri ingekuwa hivyo wangapi wangekuwa freemason kwa kuua mbuzi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.