Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Kuna mtoto mmoja wa kike wa Adamu na hawa ametajwa kwenye Biblia mara moja tuu ila sikumbuki ni kwenye kitabu gani ngoja ntafatilia.

Mwanzo 5:4
Baada ya kumzaa Sethi, Adamu aliishi miaka 800, na kupata watoto wengine wa kiume na wa kike.
Hivi kwaakili ya kawaida tukija kwenye mwili wa binadamu ulivyoumbwa kweli Moyo udunde miaka 800 bila kustop kwahiyo ujana unakuwa kwenye miaka 500 au yan. Sielew growth ya huyu mwanadamu anayeishi miaka 800 mfumo wake unakuwaje kwamba hakui au na kama anakuwa inamaana anakuwa anaukaribia uzee na kufa kwahiyo mwamba alikaa miaka 800 em imagine miaka uliyonayo ulivoishi siku zote hizo dunian alaf uongeze miaka 800😁
 
Wewe kutokumjua mtengenezaji wa Mungu haimaanishi kwamba Mungu hayupo.Inawezekana hatujui kwasababu ya ukomo wa uwezo wetu wakufikiri.Kama huwezi kujua ukisha kufa unakuaje basi jua upeo wako una kikomo.Tunajua kifo kipo kwasababu tunaona vitendo vyake je baada ya kufa inakuaje ilo hatujui,hali kadhalika kwa Mungu ni hivyo tunaamini yupo kwasababu ya vitendo ila zaidi ya hapo kuhusu yeye tuko gizani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vitendo vipi hivyo....mbona sisi hatuzioni? 😂😂😂Au ndo mvua na jua...,😂afu we mtu mzima ujue
 
Wewe kutokumjua mtengenezaji wa Mungu haimaanishi kwamba Mungu hayupo
Wewe unaye jua Mungu huyo yupo,

Thibitisha na eleza ulifahamu vipi Mungu huyo yupo?
.Inawezekana hatujui kwasababu ya ukomo wa uwezo wetu wakufikiri.Kama huwezi kujua ukisha kufa unakuaje basi jua upeo wako una kikomo.
Kama tuna ukomo wa kufikiri, Aliye sema Mungu yupo yeye aliwezaje kufahamu hilo?
Tunajua kifo kipo kwasababu tunaona vitendo vyake je baada ya kufa inakuaje
Kwani kabla ya kuzaliwa kwako ulikuwa wapi?

Na ilikuwaje huko ulipokuwa kabla hujazaliwa?
ilo hatujui,hali kadhalika kwa Mungu ni hivyo tunaamini yupo kwasababu ya vitendo ila zaidi ya hapo kuhusu yeye tuko gizani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Human beings created God through assumptions Based on things beyond their imaginations.

Man created God.

Mungu ni dhana ya kufikirika isiyo kuwepo, Imagination just an illusion.
 
Wewe kutokumjua mtengenezaji wa Mungu haimaanishi kwamba Mungu hayupo.Inawezekana hatujui kwasababu ya ukomo wa uwezo wetu wakufikiri.Kama huwezi kujua ukisha kufa unakuaje basi jua upeo wako una kikomo.Tunajua kifo kipo kwasababu tunaona vitendo vyake je baada ya kufa inakuaje ilo hatujui,hali kadhalika kwa Mungu ni hivyo tunaamini yupo kwasab
Kumbe wa dini ipi!?..maana kwa mfano Mungu wa wakiristo yesu,ambaye alimlilia Mungu wake msalabani,na ambaye kwa baba yake atakunywa Tena mvinyo,so huyo kwangu Mimi ni mtu tu si Mungu muumba
😂😂😂Hii argument ya kitoto sana
1. Kuna wajenzi tunawaona kila siku
2. Mungu kajengwa na nani?
3. Hata Kama Kuna Mungu au muumba, unajuaje ni wa dini yako?

abu ya vitendo ila zaidi ya hapo kuhusu yeye tuko gizani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaman...hujajibu swali ..kusema kwamba jua lipo sijui limeumbwa ni moja ..hujasolve chochote... nani kaliumba ..coz kila dini wanasema Mungu wake ndo muumbaji wengine wauongo...so tunajuaje Mungu wako ndo muumbaji na sio Mungu wengine wote waliopewa sifa hii na waumini wao
 
Habari zenu,

Naombeni majibu ya haya maswali kwenye maneno ya Biblia:

"Ukisoma mwanzo unaambiwa Adam na Hawa walimzaa Kaini na Habili, baadaye Kaini alimuua nduguye Habili. Baada ya hiyo hali Mungu akamfukuza Kaini (Kaini akatoka mbele za uso wa Bwana akakaa katika nchi ya Nodi mbele ya Edeni). Kaini akamjua mkewe naye akapata mimba akamzaa Henoko."

Swali liko hapo; Huyo mke wa Kaini alitoka wapi wakati Mungu alikuwa ameumba watu wawili tu na walizaa watoto wawili na kati ya hao mmoja alikuwa amefariki? Huyo mke alitoka wapi, embu tupeni majibu?
Daah mkuu mbona unauliza hilo swali jepesi sana,nitakujibu kama mtaalamu wa maandiko ya kale
Biblia ni torati iliyoandikwa na wayahudi na wayahudi wa kale walikua hawahesabu watoto wa kike kwenye kitabu cha torati,mpaka itokee sababu kama ya watoto wa yakobo na dada yao,au absalom na dadake Tamari.
Adamu wa kwenye torati alizaa na watoto wa kike na walioana na kaka zao.Soma kitabu cha Enoko mkuu ujue vizazi vya huyo adamu..
NB: SOMA KITABU CHA ENOKO KWENYE TORATI YA WAYAHUDI UMJUE ADAMU
 
Inaman...hujajibu swali ..kusema kwamba jua lipo sijui limeumbwa ni moja ..hujasolve chochote... nani kaliumba ..coz kila dini wanasema Mungu wake ndo muumbaji wengine wauongo...so tunajuaje Mungu wako ndo muumbaji na sio Mungu wengine wote waliopewa sifa hii na waumini wao
Hapo mpaka ulinganishe hizo dini,ili ujue ipi ni ya kweli ipi siyo
 
Kwanini ni wakristo tu ndio wanaongoza kuitilia shaka biblia na sio waislamu kuitilia shaka Quran? Kwasababu humu jukwaani ukiona comment ya mtu kumtilia shaka Mungu mara hayupo mara ametungwa tu ujue huyo ni mkristo nadhani dini ya kikristo imetiwa mikono na watu kwa ajili maslahi yao
 
Biblia yaliyoandikwa ni yale muhimu kwa mhtasari tu kati ya mambo mengi yakiyotokea.Baada ya adamu kuumbwa alizaa watoto wakiume na wakike na walizaana wenyewe kwa wenyewe hadi wakaongezeka.Watoto walioandikwa ni watatu tu wakiume waliokua na jambo la muhimu.Pia unatakiwa kujua toka Adam hadi Mussa ambaye ni mwandishi wa kitabu cha mwanzo ilipita miaka mingi.kwahiyo maisha yalishaendelea miaka mingi.Kwa mfano rahisi ni huu,waliopigania harakati za uhuru wa Tz walikua wengi lakini wanaotajwa nakuwepo kwenye maandishi ya historia ni wachache.Nadhani umeelewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂Sio mfano mzuri ..ukitaka kuwapata waliotajwa unaweza enda archives ukapata mpaka document zao...Leo hii niletee evidence yoyote ya story yoyote ya genesis...
 
Hapo mpaka ulinganishe hizo dini,ili ujue ipi ni ya kweli ipi siyo
😂😂😂😂We unasema dini yako ya kweli coz umezaliwa kwenye hii dini ya wazazi wako ..that's not logical.. ungezaliwa kwa wahindu ungekuwa Mhindu..so unajuaje dini ya wazazi wako ni dini sahihi na ya muumba na sio zingine...coz dini zote duniani zinampachika Mungu wao hizi kazi
 
Hairuhusiwi na nani?.Hizo ni sheria za nchi mbalimbali kulingana najinsi walivyoona.Na ziko nchi wanazaana,labda sheria ya nchi yako kwasababu za ustaarabu na magonjwa.Uko nyuma walikua wanazaana ndo maana kipindi cha safari ya waisraeli walipewa amri ya kutokulala na dada yako,walikatazwa kwasababu nijambo ambalo lilikuwepo.soma kumbukumbu la torati 27:22.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaambiwa amelaaniwa anayeuona uchi wa mama yake pia unaambiwa mwanaume ukimtaman mwanamke kwa kumuangalia umekwisha kuzini naye kiroho ... Fafanua hayo maandiko ya biblia
 
Adam na Eva waliiwahi kuzaa watoto wa kike pia, ila hawakutajwa kwenye Biblia na mmoja wao ndiyo huyu aliyekuja kuolewa na Kaini. Walikuwa wanaruhusiwa kuoana mtu na dada yake
Kilitokeani mpaka ionekane ni makosa kwa sasa mtu na dada yake kuona?
 
Kwanini ni wakristo tu ndio wanaongoza kuitilia shaka biblia na sio waislamu kuitilia shaka Quran? Kwasababu humu jukwaani ukiona comment ya mtu kumtilia shaka Mungu mara hayupo mara ametungwa tu ujue huyo ni mkristo nadhani dini ya kikristo imetiwa mikono na watu kwa ajili maslahi yao
😂😂😂Waislamu vitisho vingi....Mara ukiondoka uislamu unachinjwa...Mara moto wao cjui wameuelezea Kama unapikwa...Mara adhabu kaburini...Mara cjui malaika atakuuliza kiarabu...Mara cjui majini...😂imewekwa in a way ni vigumu Sana kutoka coz of uwoga...
 
Kama yaliyo andikwa kwenye Biblia ni yale ya muhimu tu,

Hayo mambo mengine ya kwamba Adamu alizaa watoto wakike na wakiume kisha waka zaana wao kwa wao na kuongezeka, Umeyapata wapi?

Na umejuaje na unathibitishaje?

Haya mambo yasiyo ya muhimu ambayo haja andikwa, kwa nini hayaku andikwa?

Unathibitishaje yaliyo andikwa kwenye Biblia ndio ya muhimu tu?
Ungeisoma kwanza biblia ndio ukaja na maswali.Kama hujaisoma ata ukiambiwa utazalisha tu maswali ambayo hayatafikia muafaka.Biblia sio sawa na moja jumlisha moja kwasababu imeandikwa na waandishi wengi kwa nyakato tofauti tofauti japo lengo ni lile lile.Siko kwenye mazingira mazuri yakukujibu ila kama unataka kujua majibu tafuta biblia uisome.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila kuisahau hadithi yangu pendwa "Laaa la laaa"
Kiufupi Bible ni kitabu cha kutungwa tu, nawauni flani pale Vatican.
Ata sisi tungekua na utaratibu wa kutunza vya kwetu katika maandishi tulikua tuna hadithi zetu kama za vita vya maji maji ,mwanamalundi , na hadithi mbalimbali za kiasili zenye maajabu yake na hadithi za mashujaa mbalimbali wa kale wakutungwa na wakwel.
 
Ina maana hata wewe hujui mkeo alitoka wapi?

Biblia ipo wazi sana "zaeni mkaongezeke...."

Baada ya ndoa ya Adam na Eva wanadamu walizaliwa na wakazaliana, hadi leo hii wanazaliana na ndio maana na wewe ulizaliwa.
Uwongo scientific genetics haiwezekani watu wawili tu wakapropagate a species...hata wanyama wakiwa rare hawawachukui wawili tu afu ndo wazaliane wajaze zoo au park... aliyotunga hii story hajui biology
 
Back
Top Bottom