Ukiona kijana tajiri ujue ni mwizi, aliachiwa pesa na baba yake au beti

Pesa ni pesa.
Kila mtu ashinde mechi zake.
Kila mtu atumie akili zake.
Kila mtu atumie mazingira yake.
Kila mtu amtegemee Mungu wake.
Kila mtu aitegemee bidii yake.
Mwisho kabisa, pesa ni pesa, iwe ya urithi, ya dili au ya wizi. Pesa ni tamu.
 
Kauli hii inayotrend imenifikirisha Sana wakati mwingine nikidhani nikweli!

Embu tutazame Jambo hili kwa Tanzania kijana kuwa tajiri labda mwenye Umri wa Under 30yrs amiliki angalau 100M Jambo hili linawezekana? Je, mifumo na mazingira yanawezesha?

Bila kutarajia vilivyotajwa kwenye kichwa Cha mada hii?
Wee mzee maisha yamekuchangaya 😂 kama kwenye ujana wako hukutafta matokeo yake unakuja kulaumu vijana wenye pesa nyingi kuliko wewe na kuanza kuwahisi ni wezi unasahau kwamba
 
Wee mzee maisha yamekuchangaya 😂 kama kwenye ujana wako hukutafta matokeo yake unakuja kulaumu vijana wenye pesa nyingi kuliko wewe na kuanza kuwahisi ni wezi unasahau kwamba
Soma Tena uelewe vizuri
 
Back
Top Bottom