Atakuwa alimaanisha mji alioishi na siyo ulimwengu kama tunaoufahamu leo. Na ukumbuke enzi zile vitabu viliandikwa kwenye ngozi au magamba ya miti. Leo hii kuna mamilioni ya vitabu na bado dunia ina nafasi ya kutoshaKuna na mambo mengi aliyoyafanya Yesu; ambayo yakiandikwa moja moja, nadhani hata ulimwengu usingetosha kwa vile vitabu vitakavyoandikwa.
And there are also many other things which Jesus did, the which, if they should be written every one, I suppose that even the world itself could not contain the books that should be written. Amen.
Yohana 21:25