Kwanini Tsh 100 inaleta mzozo Kwenye Daladala? Tatizo ni ongezeko la Nauli au ni Umaskini mbobevu?

Tumia kilo wewe watu wanapo lalamika nauli kupanda kwa hiyo mia (japo mimi sio mtumiaji wa daladala nina usafiri wangu) mpate kuelewa hapo piga hesabu:
100×2=200
200×365=73000
Hio 73k ni ongezeko tu la nauli kwa mwaka bado hujawapigia hesabu na wale wanaopanda daladala zaidi ya moja!
wewe kila siku unapanda dala dala mwaka mzima huna jpili huna sikukuu huumwi huna likizo, au ndo zile hesabu zenu za motivesheni spika.
 
wewe kila siku unapanda dala dala mwaka mzima huna jpili huna sikukuu huumwi huna likizo, au ndo zile hesabu zenu za motivesheni spika.
Yani Kweli Hii Nchi Bora hata katiba Mpya Isije Aisee ..Maana vichwa bado vibovu..... Mfano ;- Ukiambiwa Siku 365 doesn't mean ni Simultaneous .... Unaweza ukaenda leo kesho huendi , Au mwezi unaokuja wote huendi .... But kuna siku itafika itatimia idadi ya 365 .. MIMI nikienda kazini miezi 6 tu kwa mwaka... Na mwaka unaofuata nikaenda miezi sita tu..... Haya niambie nitakuwa nimefika hiyo 365 au sijafika??? Aisee hii Jamii forum ya siku hizi watu weupe sana kichwani
 
Nauli ya Daladala kwa maeneo mengi imeongezeka kwa ama tsh 100 au 200, lakini makelele ndani ya abiria ndani ya basi utafikiri imeongezeka tsh 1000.

Najiuliza nini tafsiri ya kilio hiki ni hiyo MIA au ni utopevu wa Umaskini?

Yaani Ongezeko la 100 abiria kamkunja Konda akidai amechoka kuibiwa, Nimeshangaa sana.

Johnthebaptist ndani ya Daladala Tegeta Nyuki - Gerezani.

Mungu wa Mbinguni awabariki😄
Ngoma huanzia ksenye LeLe
 
Yani Kweli Hii Nchi Bora hata katiba Mpya Isije Aisee ..Maana vichwa bado vibovu..... Mfano ;- Ukiambiwa Siku 365 doesn't mean ni Simultaneous .... Unaweza ukaenda leo kesho huendi , Au mwezi unaokuja wote huendi .... But kuna siku itafika itatimia idadi ya 365 .. MIMI nikienda kazini miezi 6 tu kwa mwaka... Na mwaka unaofuata nikaenda miezi sita tu..... Haya niambie nitakuwa nimefika hiyo 365 au sijafika??? Aisee hii Jamii forum ya siku hizi watu weupe sana kichwani
unaelewa unacho andika soma niliemquote kasema kwa mwaka. wewe unakuja na ngonjera sijui siku 365 kwa miaka miwili.
 
Nauli ya Daladala kwa maeneo mengi imeongezeka kwa ama tsh 100 au 200, lakini makelele ndani ya abiria ndani ya basi utafikiri imeongezeka tsh 1000.

Najiuliza nini tafsiri ya kilio hiki ni hiyo MIA au ni utopevu wa Umaskini?

Yaani Ongezeko la 100 abiria kamkunja Konda akidai amechoka kuibiwa, Nimeshangaa sana.

Johnthebaptist ndani ya Daladala Tegeta Nyuki - Gerezani.

Mungu wa Mbinguni awabariki
100 sio pesa ndogo kama unavyodhani
 
wewe kila siku unapanda dala dala mwaka mzima huna jpili huna sikukuu huumwi huna likizo, au ndo zile hesabu zenu za motivesheni spika.
Tumia akili kijana hata katika hizo siku za kwenda kazini kuna siku inatokea umesahau kitu nyumbani inabidi urudi au inatokea dharura nyingine hivyo inakubidi kupanda daladala zaid ya Mara moja kwa siku
#ZINDUA AKILI
#KUGOMBANIA REMOTE NA HOUSEGIRL NI USHOGA
#ONDOKA KWA SHEMEJIII
 
Yani Kweli Hii Nchi Bora hata katiba Mpya Isije Aisee ..Maana vichwa bado vibovu..... Mfano ;- Ukiambiwa Siku 365 doesn't mean ni Simultaneous .... Unaweza ukaenda leo kesho huendi , Au mwezi unaokuja wote huendi .... But kuna siku itafika itatimia idadi ya 365 .. MIMI nikienda kazini miezi 6 tu kwa mwaka... Na mwaka unaofuata nikaenda miezi sita tu..... Haya niambie nitakuwa nimefika hiyo 365 au sijafika??? Aisee hii Jamii forum ya siku hizi watu weupe sana kichwani
Bora umewaelewesha tatizo la social network hata vichaa wanacomeent tu ili mradi ana account na bando
 
Viongozi wetu Kwa moyo wangu wote nawaomba muongeze zaidi kama mtu alikua analipa jero bas alipe buku wa 700 alipe 1500 wa 900 alipe 2000

Labda Kwa njia hyo watanzania tutaanza kujitambua na ikiwezekana mafuta pandisheni kidogo ongezeni tu 0.67% ili tupate Hela ya uchaguzi

Mkifanya hvo na bado wakawa hawajielewi bas wasameheni tu
 
Nauli ya Daladala kwa maeneo mengi imeongezeka kwa ama tsh 100 au 200, lakini makelele ndani ya abiria ndani ya basi utafikiri imeongezeka tsh 1000.

Najiuliza nini tafsiri ya kilio hiki ni hiyo MIA au ni utopevu wa Umaskini?

Yaani Ongezeko la 100 abiria kamkunja Konda akidai amechoka kuibiwa, Nimeshangaa sana.

Johnthebaptist ndani ya Daladala Tegeta Nyuki - Gerezani.

Mungu wa Mbinguni awabariki
Hata mi nashangaa!!! labda ingeonzeka mi 5
 
Mkuu namashaka na shule yako kichwani, Hii ni reference katoa...

Unaenda Kazini Siku 5 za week...
Kwa Mwezi Utaenda Mara 20.
Chukua 20×miezi 12 =siku 240.
Sasa Hizo Siku 240.... kuna ule mwaka wa pili utaenda itafika hiyo siku 365.

It means rotation.... Hata kama sio mfanya kazi lakini utasafiri safari zako...lakini kuna siku itatimia idadi ya mwaka mzima kwa usafiri ndio hesabu zake....

Na kumbuka kuna watu kila siku ya mungu lazima aende kazini, Wanafanyaga kazi kwa wahindi/viwandani.... Ukistaajabu ya mtu kwenda kazini kila siku...Staaajabu na kuna watu wanalipwa laki 2 kwa mwezi na kuna watu wanalipwa million hata 5 kwa mwezi...so maisha yapo tofauti kama vidole vya mikono yako
Endelea kuwa na mashaka wala haina tatizo Msomi nguli..
 
Back
Top Bottom