Kwanini hamtaki kujibu haya maswali kwenye Biblia?

Sasa kwa nini Exodus 33:20 iseme kwamba " No man shall see me and live"

Ina maana mwandishi huyo wa Biblia alikuwa hajui kwamba, Musa alimuona Mungu kwa ruhusa ya Mungu na akaishi?

Kwa nini ajichanganye tena?

Nakwambia hivi, Biblia ni Andiko la kutungwa na wahuni wachache kuwahadaa wajinga wasio jielewa.View attachment 2793744
Sasa hapo hujaelewa nini mkuu au unataka ligi tu? Kuhusu Biblia, Waandishi waliambiwa na mungu mwenyewe waandike. Musa alipelelwa Misri akastaarabike ikiwemo kujua kusoma na kuandika. Waandishi hawakujiandikia ila waliandika kile walichoambiwa na Mungu.

Mfano, wewe Baba msimamo wako ni kuwa hakuna mwanangu atakayeniona akaishi ila akatolea mwanao mmoja akawa anakuomba Baba kama mi ni mwanao na nimepata kibali mbele zako naomba nikuone. Wewe Baba ukamwambia, sawa mwanagu utaniona ila nitaziba mkono wangu usinione hadi oale nitakapogeuka ndio nitaruhusu unione. Usiuone uso wangu ila utaniona nyuma yangu baada ya kupita. Hapo kosa lipo wapi mkuu? Mwanao akija kukuona kwa kibali chako tena ukimwambia ukweli kuwa ukinikna uso wangu utakufa ila nitakuonesha nilivyo kwa nyuma. Sasa shida ipo wapi? Je mwanao amekuona au hajakuona?
 
Biblia ni andiko moja la kipumbavu sana lililo tungwa na wahuni wachache kuwahadaa wajinga wasio jielewa.
Sasa hiyo ndio hoja yako? Nini logic yako hadi kufikia kwenye hiyo conclusion? Je nami nikisema hii comment yako ni ya kipumbavu imeandikwa na Juha mmoja mwenye mapepo kwa lengo lankudanganya watu nitakuwa nimekukosea?
 
Hujaelewa, kumuona Mungu owa namna gani hujajua? Kumuona Physically na sio spiritually. Mbona Mungu kwenye Biblia kujifunua kwa watu wake spiritually kuanzia Isaya hadi Mikaya.

Issue ya Musa kabla hajamuona kwa kulingana na hilo ulichoandika kulikiwa na convo kati yao na Mungu alimwambia Mungu hakuna ambaye atamuona yeye na akaishi. Ila kwa kuwa Musa alimuomba Mungu amuone, ndiyo akajifunua kwake tena haikuwa dhahiri kwani Mungu alimwambia ajifiche kwenye mwamba ili amuone kwa nyuma.asije akafa. Sasa hapo contradiction ipo wapi mkuu?
Unasema kwamba Musa alimuona Mungu kwa nyuma?

Una elewa maana ya face to face?
( uso kwa uso)

Uache kusema uongo kwamba Musa alimuona Mungu kwa kujificha tena kwa nyuma tu.

Uthibitisho huo hapa kwamba Musa alimuona Mungu uso kwa uso...




Screenshot_20231026-163120_1.jpg
 
Kuna mdau pale juu aliuliza Swali kwamba ikiwa kila kitu lazima kiwe na muumbaji wake je muumbaji wa Mungu ni nani
Hiyo kila kitu lazima kiwe na muumbaji wake amekitoa wapi? Angesema labla kila kitu kina chanzo chake ila kuna ambaye hana chanzo wala mwisho kwani chanzo na mwisho kimekuwa limited na "time and space" lakini yeye hana limit ya time na space mkuu.
 
😂Mpo serious na hizi sheria kweli...Mungu alisema msichanganye mazao kwenye shamba moja mbona hamfati
Biblia inayo pande mbizi ambazo ni Agano la kale na Agano jipya, Agano lakale lilikuwa linalenga mambo ya kimwili, leo Agano jipya lina lenga mambo ya Kiroho Yaani tenda kulingana na Roho yako itakavyo kuamulia.
 
Sasa hiyo ndio hoja yako? Nini logic yako hadi kufikia kwenye hiyo conclusion? Je nami nikisema hii comment yako ni ya kipumbavu imeandikwa na Juha mmoja mwenye mapepo kwa lengo lankudanganya watu nitakuwa nimekukosea?
Nakwambia hivi,

Hakuna andiko la Mungu linalo
ji contradict lenyewe kwa lenyewe kwenye kauli zake...

Mara huku liseme, Hakuna aliye wahi kumuona Mungu uso kwa uso akaishi, Halafu tena hapohapo linakwambia Musa alimuona Mungu uso kwa uso na akaishi.

Hii ni uthibitisho tosha kwamba Biblia ni stori za kutungwa na mwandishi wa Biblia alikuwa haelewi hata anacho kiandika.

Ndio maana aliji changanya changanya.
 
Hiyo kila kitu lazima kiwe na muumbaji wake amekitoa wapi? Angesema labla kila kitu kina chanzo chake ila kuna ambaye hana chanzo wala mwisho kwani chanzo na mwisho kimekuwa limited na "time and space" lakini yeye hana limit ya time na space mkuu.
Kama si lazima kwamba kila kitu kiwe na Muumbaji wake, Hata Dunia si lazima iwe na Muumbaji wake.

Hakuna ulazima wa kwamba Dunia ina mwanzo wake.
 
Kwahiyo hapo mwanzo tu kaini si alienda kuoa baada ya kumuua Habili kwo ilipita miaka 800 tyr mwanzo tu😁😁😁
Unaposoma Biblia uwe na utulivu kidogo, mfano Mwanzo 1:26 inasema Mungu alimwumba mtu, 2:1 inasema Mungu alimaliza uumbaji and then 2:7 Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi. Sometimes it gives the big picture first then slowly giving you the details.

Hiyo Mwanzo 5:4 nimechukua kukuonesha kuwa Adamu alikuwa na watoto wa kike. Kabla ya hapo hakuna sehemu maandiko yanasema Adamu alikuwa na watoto wa kiume tu.
 
Unasema kwamba Musa alimuona Mungu kwa nyuma?

Una elewa maana ya face to face?
( uso kwa uso)

Uache kusema uongo kwamba Musa alimuona Mungu kwa kujificha tena kwa nyuma tu.

Uthibitisho huo hapa kwamba Musa alimuona Mungu uso kwa uso...




View attachment 2793753
Hahahaaaa, kumbe uso kwa uso kwa namna hiyo kama ambavyo aliongea naye kwenye kichaka kinachowaka kwani Mungu anajifunua kwa namna yoyote au kutumia kitu chochote kuongea na mwandamu uso kwa uso ila sio physically kama mimi na wewe tunavyoonana na kujua huyu na huu ndio uso wa Jimmygatete.

Hahahaaa, sasa Musa aliposema uso wako usipoenda na mimi usitutoe hapa alimaanisha uso wa Mungu uwe mbele zake na wannabe naye? Wewe ndio umejicontradict. Hapo hujajua ni lugha ya picha ikimaanisha uweponi kwake moja kwa moja mkuu. Sehemu pekee ambayo Mungu alijifunua kwa Musa ni katika Kutoka 33 kama inavyoonelana hapo mkuu
Screenshot_20231026_171459_Biblia.jpg
 
Kama si lazima kwamba kila kitu kiwe na Muumbaji wake, Hata Dunia si lazima iwe na Muumbaji wake.

Hakuna ulazima wa kwamba Dunia ina mwanzo wake.
Hahaaaaaa naona unaendeleza ubishi. Hilo suala la kila kitu lazima kiwe na muumbaji kimetoka wapi? Unajua maana ya uumbaji mkuu? Wewe Muumbaji wako ni nani?😞😆😃😄 nyie jamaa mnalazimisha ubishi kwa hoja za kubumba bumba.
 
Apo ili kuelimishwa inabidi upande mmoja ukubali kuwa zuzu ili kulishwa matango pori
hapo hakuna nani awe sahihi na nani hayupo sahihi.Swala la imani ni Swala la tofauti Kwa kila mtu,mm naamini kila mtu ana namna yake ya kuamini kile ambacho anaona,anasikia,au kuhisi kina ukweli kutokana na imani yake.Sometimes Mazingira tunayokulia pia yanachangia kukuz iman zetu ni ngumu kubadilisha imani ya mtu kwa kutumia facts
 
Nakwambia hivi,

Hakuna andiko la Mungu linalo
ji contradict lenyewe kwa lenyewe kwenye kauli zake...

Mara huku liseme, Hakuna aliye wahi kumuona Mungu uso kwa uso akaishi, Halafu tena hapohapo linakwambia Musa alimuona Mungu uso kwa uso na akaishi.

Hii ni uthibitisho tosha kwamba Biblia ni stori za kutungwa na mwandishi wa Biblia alikuwa haelewi hata anacho kiandika.

Ndio maana aliji changanya changanya.
Mzee unaongeza ubishi na kujaza server bure tu mkuu. Nimekuwekea hivuo vifungu hapo juu kutoka 33 unaelewaje? Unajua nini maana ya uso wa Mungu mkuu?
Screenshot_20231026_171514_Biblia.jpg
 
Maswali mengine ya kitoto sana. Ila wake za Seth, Abel, Lutu, Kanaani, Shem, Hamu, Yafeti, Yohana mbatizaji, Petro, Paulo, Sila, yuda n.k nao wameandikwa? Mke wa Pilato naye kaandikwa? Acheni ujuaji nyie. Sasa kungekuwa na maana gani kama Biblia ingeandika wake za watu wote. Kuanzia Adam hadi Mtume Yohana.

Kuandikwa kwa Hawa au Eve kama unavyosema ni kuonesha chanzo cha wanadamu au wewe ni mtoto wa kuasiriwa toka kwa Baba au Mama zako wenye jinsia moja?😃😁😆😢😢😞
Wangeandikwa kama stori ingewahusu sasa uzao wa Adam kwann haukuandikwa
 
hapo hakuna nani awe sahihi na nani hayupo sahihi.Swala la imani ni Swala la tofauti Kwa kila mtu,mm naamini kila mtu ana namna yake ya kuamini kile ambacho anaona,anasikia,au kuhisi kina ukweli kutokana na imani yake.Sometimes Mazingira tunayokulia pia yanachangia kukuz iman zetu ni ngumu kubadilisha imani ya mtu kwa kutumia facts
Upo sahihi sana ila fact itabaki kuwa fact .
 
Wangeandikwa kama stori ingewahusu sasa uzao wa Adam kwann haukuandikwa
Uzao upi usioandikwa? Kwani akina Abel ni uzao wako? Naona unapambana kuongeza pages za uzi wako kwa kuandika upuuzi kama huo. Suala la mke wa KAINI limeshajibiwa na tumekueleza alikiwa anaitwa AWAN ukirefer vitabu vingine nje ya Biblia kwani lengo la Biblia sio kutaja majina ya wake za watu mkuu. Mbona mkeo naye hajatajwa kwenye Biblia?😄😃😆😞
 
Hahahaaaa, kumbe uso kwa uso kwa namna hiyo kama ambavyo aliongea naye kwenye kichaka kinachowaka kwani Mungu anajifunua kwa namna yoyote au kutumia kitu chochote kuongea na mwandamu uso kwa uso ila sio physically kama mimi na wewe tunavyoonana na kujua huyu na huu ndio uso wa Jimmygatete.

Hahahaaa, sasa Musa aliposema uso wako usipoenda na mimi usitutoe hapa alimaanisha uso wa Mungu uwe mbele zake na wannabe naye? Wewe ndio umejicontradict. Hapo hujajua ni lugha ya picha ikimaanisha uweponi kwake moja kwa moja mkuu. Sehemu pekee ambayo Mungu alijifunua kwa Musa ni katika Kutoka 33 kama inavyoonelana hapo mkuuView attachment 2793757
Hivi una elewa maana ya uso kwa uso?

Tena hapo Biblia hiyo ime andika kabisa

" Naye bwana akasema na Musa uso kwa uso kama vile mtu asemavyo na rafiki yake"

Halafu unajifanya kama huelewi kilicho andikwa...!!!
Screenshot_20231026-171902_1.jpg
 
Uzao upi usioandikwa? Kwani akina Abel ni uzao wako? Naona unapambana kuongeza pages za uzi wako kwa kuandika upuuzi kama huo. Suala la mke wa KAINI limeshajibiwa na tumekueleza alikiwa anaitwa AWAN ukirefer vitabu vingine nje ya Biblia kwani lengo la Biblia sio kutaja majina ya wake za watu mkuu. Mbona mkeo naye hajatajwa kwenye Biblia?😄😃😆😞
Kwani hao watoto wengine wanaosema walizaa na Kaini walikuwa wa nani ????
 
hapo hakuna nani awe sahihi na nani hayupo sahihi.Swala la imani ni Swala la tofauti Kwa kila mtu,mm naamini kila mtu ana namna yake ya kuamini kile ambacho anaona,anasikia,au kuhisi kina ukweli kutokana na imani yake.Sometimes Mazingira tunayokulia pia yanachangia kukuz iman zetu ni ngumu kubadilisha imani ya mtu kwa kutumia facts
Shida inakuja kusadikika inapotaka kufanywa fact
1696404897821.jpg
 
Back
Top Bottom