Naunga mkono hoja.
Tatizo langu ni moja.Mhe.Mpango leo hakuainisha mikakati yoyote ya kuimarisha kipato cha mwananchi kwa kupunguza bei za bidhaa mhimu kama vile mafuta ya kula na ya petrol,vifaa vya ujenzi,sukari,umeme,maji nk.JPM alikuwa anaeleza na kufanya kwa vitendo.
Njia hii huwa naona...
Mikataba yote ya miradi kama hiyo huwa na utaratibu wa namna ya kushughukilia linapotokea tatizo la namna hiyo.
Siyo kumuwela mahabusu Afisa wa Kampuni.
Makonda alisema mara baada ya kuteuliwa kuwa Mwenezi kuwa Mama Samia alipelekewa majungu dhidi ya viongozi waliokuwepo enzi za JPM na baadhi ya viongozi wa sasa,akawaweka wao.
Hao wapeleka majungu wakaendelea na majungu badala ya kutimiza wajibu wao.Ndiyo Mama akaanza kushtuka na kuwaweka akina...
Siyo Tano tu.Mimi naweza kuorodhesha zaidi ya 20 huku nimefumba macho.
1. Kule Bukoba Kuna mwananchi alitapeliwa gari,Makonda akamsaidia kupata.
2. Mwanza alipolalamikiwa kuwa mwili wa Marehemu umeshikiriwa mochuari,aliagiza ukachukuliwe na kuzikwa na akatoa gari lake.
3. Tarime suala la...
Umemuuliza maswali ya msingi sana.Watanzania huwa wepesi kuamini uvumi na porojo bila kufikiri kwa kina.Sabaya aliposhtakiwa watu wachache mno waliojitokeza kutoa ushahidi na baadhi walionekana kupangwa,pamoja na mayowe yote yake kabla hajashtakiwa na baada ya kushtakiwa.
Hapo hakuna ushahidi wowote kuwa aliyefanya hivyo huyo aliyetajwa na kama hayo mafuta ni ya serikali.
Lakini kama ni kweli,Mwamba anatuangusha watumishi wenzake.Wenzake leo wameshtakiwa kwa kupiga zaidi ya bilioni 1.2.Yeye anapiga laki mbili tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.