Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,087
- 22,809
Halafu ukute mtu ana PhD...Makonda is numerous times better kuliko Nchimbi.
Nimechoka. Kwa draft inaitwa forced King.Makonda is hugely popular to Nchimbi and Makala combined.
Halafu ukute mtu ana PhD...Makonda is numerous times better kuliko Nchimbi.
Nimechoka. Kwa draft inaitwa forced King.Makonda is hugely popular to Nchimbi and Makala combined.
Makonda ni genius, ningekuwa mi Nchimbi ningeungana naye ili kukivusha Chama. Jambo la Dkt Kikwete na Lowasa lilikuwa gumu sana maana unakuta Lowasa aliandaa timu ya kusimamia maslahi yake ya kura kiasi kwamba Dkt Kikwete 2010 kama ansingemtoa basi he was going to a one term president, na kibaya kabisa Nchimbi alitumika kama right hand man wa Lowasa tangu enzi za UVCCM hivyo huo mtandao ndiyo mpaka leo wanadhani upo lively, ila huo mtandao ulishakufa masikioni mwa wapiga kura labda serikalini tu na makundi ya wezi ila huwezi ukawa na mtandao bila lowasa au Dkt Kikwete hao ni viongozi waliopendwa tu bila kusema chochote!Nchimbi alikuwa ni timu lowasa na anamjuwa makonda jinsi alivyotumika vibaya kumchafua watu hat mm nisingeweza kufanya Kaz na kichaaa Kama makondakata
Ushawishi zaidi kwa wajinga!Jambo la ajabu ni kuwa Makonda ndio alikuwa na ushawishi zaidi
Kwa mfano tu wa kawaida, nimekupa kazi asubuhi nikaondoka zangu nikarudi jioni, baada ya kufika kwenye kazi niliyokupa nikakuambia "nimekupa kazi ila umechemka" tafsiri yake ni nini?Mbona Makonda kasifiwa alikichemsha chama?!
Bora!Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Kadinali Pengo hana alimu? Maana anamuunga mkono.Umewahi kujiuliza kwa nini Makonda anapendwa sana na watu wasio na elimu, uelewa na wenye wivu?
Ukiitambua hiyo sababu utamtambua vizuri Makonda, mtu Muongo.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile
MzizimaMji gani?
Umemuuliza maswali ya msingi sana.Watanzania huwa wepesi kuamini uvumi na porojo bila kufikiri kwa kina.Sabaya aliposhtakiwa watu wachache mno waliojitokeza kutoa ushahidi na baadhi walionekana kupangwa,pamoja na mayowe yote yake kabla hajashtakiwa na baada ya kushtakiwa.Nilishawahi kukuomba unite evidence isiyo na, mashaka kuwa huyu mtu ni muuaji. Ulishindwa kutoa hiyo evidence. Unakimbilia hoja dhaifu kuwa USA walisema. Nikakuuliza swali, USA, waliposema kuwa Sadam Hussein ana silaha za, nyukilia, he walimkuta nazo? Au USA waliposema kuwa Gaddafi ana siraha za nyukilia, je walimkuta nazo?
Muuaji mwaga damu za watanzania,nyota ilianza kung`aa baada ya kuanza kuua watuWewe ndiye Kichaa, hayawani, punguani, kiroboto, Makonda ndiye chaguo la watanzania mtu yeyote akilinganishwa naye lazima amshinde kwa hoja. Kaeni na ujinga wenu badala ya kujifunza toka kwa Makonda.
Si kweli. Magufuli alishaamua kuachana naye zamani tu.Lazima umsifie Maliyamungu aka Bashite mtoto mpendwa wa Jiwe
Nenda kwa Ras Simba mkuu.Halafu ukute mtu ana PhD...
Nimechoka. Kwa draft inaitwa forced King.
MorogoroMji gani?
Fahali wawili hawakai zizi moja.Namuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Mmmh ...alivamia clouds media...ushahidi tosha kwenye CCTV cameras tuachane nayale wanamhutumu kama ya mauaji ...ya uvamizi alifanyaje Magufuli kama kiongozi wa nchi?Si kweli. Magufuli alishaamua kuachana naye zamani tu.
Yaani nyie mnaaminigi tu Makonda ni boss wa kila mtu duniani hapa.Si ndio hivyo akakataa wasiwe kwenye ziara pamoja?
Aliogopa KUFUNIKWA. Acha aambatane na Kiazi mwenzakeNamuona Katibu Mkuu wa CCM, Emmanuel Nchimbi yupo bega kwa bega na Katibu mpya wa Uenezi, Amos Makalla
Nakauliza kwa wadau kwa nini anaambatana na Makalla lakini hakuambatana Makonda kipindi chote alipokuwa mwenezi
Nikaambiwa jamaa alimgomea Makonda sababu japo hazijawekwa wazi
Nini maana ya uvamizi kwa mujibu wa sheria zetu za nchi?Mmmh ...alivamia clouds media...ushahidi tosha kwenye CCTV cameras tuachane nayale wanamhutumu kama ya mauaji ...ya uvamizi alifanyaje Magufuli kama kiongozi wa nchi?