Mwarabu wa Dubai, Emirates National Group (ENG) wapewa kazi ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

Serikali zote zinazojielewa duniani zinazothamini watu wake zine mifumo rasmi ya kutafuta, kufuatilia, kutathamini na kushawishi watu wake kuwekeza au kuanzisha jambo fulani lenye manufaa kwa jamii na Taifa kwa ujumla

Nimeona taarifa ya MO kuomba kufunga kiwanda cha kahawa lakini waziri mwenye dhamana na kilimo amemkatalia kwa ajili ya kulinda mslahi ya Taifa.

Kwanini wasingetangaza tender kwa wazawa tu?
Mkuu huko ni kuwadekeza, fursa mtu inatakiwa uichangamkie, sio uliletewe ulishwe mdomoni,

Ishu na Mo ni tofauti kabisa na ishu hii ya tender usichanganye mada,

Tuje kwenye kuwabeba wazawa,
Nakumbuka Magu aliwapambania sana wakandarasi wazawa alifika mbali Hadi aliwa organise wakaanzisha kampuni na akawapa kazi ila baada ya kufanya tender kadhaa ile kampuni ikiwa dhofu Hal, na hata Magu aliwachana live kwenye Annual Engineers Day ilifanyika Diamond Jubilee 2018,
Ni kwamba hapakua na msukumo wa ndani Bali walikua na msukumo wa nje kutoka kwa Magu,
Ishu ya mwisho,
Hiyo tender tumeambiwa kampuni 30 ziliomba, mbili tu ndo za wazawa kwa hiyo kama ingetangazwa kwa wazawa tu kama wewe unavopendekeza, basi zingeshindanishwa kampuni 2 tu, sasa pima mwenyewe wapi kuna chance kubwa ya kupata chaguo Bora ukiwa na machaguo mengi au machache,
 
Mkuu huko ni kuwadekeza, fursa mtu inatakiwa uichangamkie, sio uliletewe ulishwe mdomoni,

Ishu na Mo ni tofauti kabisa na ishu hii ya tender usichanganye mada,

Tuje kwenye kuwabeba wazawa,
Nakumbuka Magu aliwapambania sana wakandarasi wazawa alifika mbali Hadi aliwa organise wakaanzisha kampuni na akawapa kazi ila baada ya kufanya tender kadhaa ile kampuni ikiwa dhofu Hal, na hata Magu aliwachana live kwenye Annual Engineers Day ilifanyika Diamond Jubilee 2018,
Ni kwamba hapakua na msukumo wa ndani Bali walikua na msukumo wa nje kutoka kwa Magu,
Ishu ya mwisho,
Hiyo tender tumeambiwa kampuni 30 ziliomba, mbili tu ndo za wazawa kwa hiyo kama ingetangazwa kwa wazawa tu kama wewe unavopendekeza, basi zingeshindanishwa kampuni 2 tu, sasa pima mwenyewe wapi kuna chance kubwa ya kupata chaguo Bora ukiwa na machaguo mengi au machache,
Kuna vitu vingi huwa havisemwi hadharani kutoka kwa hawa wawekezaji wazawa.

Ukweli ni kwamba kuna namna serikali huwa inawanyanyasa badala ya kuwalea wakue.

Unavyosema kuwadekeza, hivyo ndivyo inapaswa kuwa kwa hizi nchi zinazoendelea. Ni lazima iwalee na kuwakuza wawekezaji wake wa ndani ikiwemo kuwashika mkono pale wanapoonyesha dalili za kuanguka

Sikatai kwamba kwa mentality za wabongo wengi wanaweza wasiwe na ile fighting spirit kama wenzetu, nani wa kutujengea hiyo fighting skills? Mitaala yetu inatujenga kujiamini katika tunalofanya? Malezi yetu yanawaandaa vijana kufight katika mambo makubwa?

Wakati makampuni ya kigeni yanakuja kuwekeza kwa mara ya kwanza kabisa huku Afrika Chartered companies kama kina IBEACO, GEACO, BSACO, nk yalidhaminiwa na serikali na hatimaye yakajichimbia mizizi huku huku na kuanzisha ukoloni ambao ulineemesha nchi zao. Jambo la kusapoti makampuni binafsi au wawekezaji binafsi wanaokuja kuwekeza Afrika halijawahi kuachwa na hizi nchi zinazokuja kuwekeza huku

Miradi mingi inayoendeshwa na wageni huku kwetu serikali zao zinaweka mkono wake kwa imani kwamba lazima faida itarudi kuendeleza nchi zao na watu wao leo au kesho bila kuwa na haraka.

kwanini sisi nchi zetu zishindwe tena kwa wawekezaji wa hapa hapa ndani?

Hivi ndio vitu wasomi wetu wanatakiwa kujifunza! Namna serikali za wenzetu zinavyojali muwekezaji na kumkumbatia manufaa ya nchi.

Tunasoma historia ya ukoloni wa Afrika ya nini kama kila siku tunaendelea kuwakaribisha kwa namna ile ile waliyotumia mwanzo kuja kututawala? Basi kama ni hivyo somo la historia mashuleni lifutwe kwasababu hakuna kilichobadilika. Walikuja kwa njia ya mikataba na kina chief Mangungo sasa wanarudi kwa mikataba ya aina ile ile

Tatizo kubwa kwa hizi serikali zetu ni kutofocus mbele zaidi. Wanataka kuvuna wasipopanda.

Kuwashika mkono na kuwadekeza wawekezaji wa ndani kunaweza kusionyeshe faida kwa serikali leo wala kesho ila huko mbeleni tukawa tumewajengea uwezo mkubwa wa kujitanua, kujiamini na hatimaye faida wanayoipata ikajenga ustawi wa jamii inayowazunguka

Sasa muwekezaji anapewa mradi mmoja, hata kabla ya mradi kukamilika serikali inataka ipate faida, vigogo serikalini waliotoa tender wanataka ten percent yao, katibu wa ccm anataka mchango wa chama kujenga tawi, mkurugenzi anataka percent, diwani anataka, katibu kata, na mambo mengine kibao! Lazima tuwalinde na haya yote ili waone faida na haya yatakuja automatic huko mbele
 
Kwanini mapato washike DART, huko si kupeleka chui kwenye zizi la mbuzi?
tokea mfumo wa kukata tiketi ulipokufa ndio kuanguka kwa DART. kuna jiarani yangu alikuwa anakata tiketi hapo kwenye kituo mbona alitajirika sababu kila siku anatoka na elfu 30
 
Nakubaliana na hoja yako kwamba ipo haja kwa serikali kuweka mazingira wezeshi kwa kampuni za wazawa ili ziweze kukua, kuwa shindani na hatimae mapato kubaki hapa nchini,

Ila inapofika kwenye zabuni , kigezo kiwe uwezo wa kampuni husika na sio kisa mzawa apewe tu,
 
Nakubaliana na hoja yako kwamba ipo haja kwa serikali kuweka mazingira wezeshi kwa kampuni za wazawa ili ziweze kukua, kuwa shindani na hatimae mapato kubaki hapa nchini,

Ila inapofika kwenye zabuni , kigezo kiwe uwezo wa kampuni husika na sio kisa mzawa apewe tu,
Wakiweka kigezo cha uwezo wa kampuni katika ushindani bila kuangalia added advantage ya uzawa, ni makampuni mangapi yanauwezo wa kushindana na makampuni ya nje?

Mi nadhani kuna haja ya serikali kutenga aina ya miradi ambayo makampuni yetu ya ndani kwa kupewa sapoti inaweza kuendesha hata kwa lazima.

Yaani barabara ya mwendo kasi ipo, vituo vipo, kuweka daladala barabarani nako watu wetu wa ndani hawawezi kweli?? Huu ni mzaha. Kuna wakati inabidi kuwalazimisha kufanya kama Bashe anavyolazimisha Mo aendelee na viwanda vyake vya chai.

Serikali iwe na orodha ya matajiri wazawa na iwape kipaumbele katika miradi ambayo tunaweza kufanya wenyewe
 
Serikali imedhamiria kusaini mkataba wa ubia na Shirika la Emirates National Group (ENG) lenye makao yake makuu Dubai ili kuendesha usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dar (DART) awamu ya 1 mwezi ujao.
View attachment 2947476
ENG chini ya Mkurugenzi Bw. Ahmed Abood Al Boasy (Pichani) inamiliki na kuendesha makampuni ambayo yanashughulika na njia zote za usafiri wa kibinafsi na wa umma, pamoja na huduma zao za ziada.

Kamishna wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema kuwa ENG ilishinda zabuni hiyo.

Serikali imechukua hatua ya kukaribisha sekta binafsi kuendesha DART ili kuboresha huduma za usafiri mijini kutokana na kasi kubwa ya mabasi kuharibika, kuruka abiria kwenye stendi nyingi za mabasi mbali na vituo vikuu na mabasi mazima kubaki machache.
View attachment 2947478
Mwekezaji huyo atapewa nafasi ya kupewa ruti kwenye awamu ya pili ya mradi iwapo itathibitika kuwa ameweza kuboresha huduma kwa kiasi kikubwa.

Kafulila aliongeza kuwa kuwa mwekezaji mpya anatarajiwa kuleta idadi ya kutosha ya mabasi ili kumaliza msongamano huo.

Kafulila alisema pia kuwa utiaji saini unatarajiwa kufanyika wiki mbili zijazo, huku ENG ikitarajiwa kununua mabasi na kutoa huduma za usafiri “wakati jukumu la DART litakuwa ni kusimamia mapato.”
waambiwe hii sio nchi ya kiislam, wasije siku moja ijumaa au wakati wa ramadhan wakasema mabasi yasimame. vichwa vyao wanavijua wenyewe hawa wala tende.
 
Nyerere aliwaamini Wachina kwenye uwekezaji
Mwinyi aliwaamini Wananchi wake/sekta binafsi kwenye uwekezaji
Mkapa aliwaamini Makaburu kwenye uwekezaji
Kikwete aliwaamini Wazungu kwenye uwekezaji
Magufuli aliwaamini Wahindi na Mawaziri na Ma RC wake waongo uanzishwaji viwanda
Mama Samia anawaamini Waarabu kwenye uwekezaji

Ngoja tuone!
Kila zama na Kitabu Chake.
 
Kwa lugha nyepesi kabisa ni kwamba ''Watanzania tumeshindwa kuendesha mradi wa Mwendo kasi''

Inashangaza kiasi, inawezekanaje watu binafsi wanaweza kumiliki mabasi na kuendesha huduma za usafirishaji tena ikitumia watu wa kawaida kabisa lakini serikali na taasisi zake na wake wake wasomi wanashindwa kuendesha usafirishaji wa abiria kwenye mji mmoja, tena kwenye njia chache kati ya nyingi za mji huo.
Route:
Mbezi - Kivukoni
Mbezi - Kkoo
Mbezi - Kibaha
Mbezi- Kimara
Mbezi - Morocco
Kkoo - Morocco
Morocco - Kivukoni

Hizi route ni chini ya asilimia kumi ya route za usafirishaji wa abiria hapa Dar.

Nini tunaweza kukifanya kwa ufanisi?
Ni wizi, rushwa, soga, chuki, uongo, uzushi, ngono..............
Mwafrika hawezi kitu cha maana.

Kazi.ya mwafrika ni
1. Ngono
2. Pombe
3. Starehe
4. Kuoa wake wengi/vimada/wagldangaji.

Imagine Mwarabu atoke kwao uarabuni aweze kuwekeza sehemu ambayo wewe mwenyeji umeshindwa.

Mwarabu anafanya kwa faida na faida anaiona ila wewe mwenyeji kila mwaka hasara
😂😂😂😂
 
Mwafrika hawezi kitu cha maana.

Kazi.ya mwafrika ni
1. Ngono
2. Pombe
3. Starehe
4. Kuoa wake wengi/vimada/wagldangaji.

Imagine Mwarabu atoke kwao uarabuni aweze kuwekeza sehemu ambayo wewe mwenyeji umeshindwa.

Mwarabu anafanya kwa faida na faida anaiona ila wewe mwenyeji kila mwaka hasara
😂😂😂😂
Tulishasema ccm nchi ilishawashinda wapishe na wengine
 
watu wameendesha biashara ya mabasi mikoa karibu yote Tanzania wanashindwaje kuendesha usafiri wa Dar es Salaam peke yake?
1711717288153.png
 
Serikali imedhamiria kusaini mkataba wa ubia na Shirika la Emirates National Group (ENG) lenye makao yake makuu Dubai ili kuendesha usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dar (DART) awamu ya 1 mwezi ujao.
View attachment 2947476
ENG chini ya Mkurugenzi Bw. Ahmed Abood Al Boasy (Pichani) inamiliki na kuendesha makampuni ambayo yanashughulika na njia zote za usafiri wa kibinafsi na wa umma, pamoja na huduma zao za ziada.

Kamishna wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema kuwa ENG ilishinda zabuni hiyo.

Serikali imechukua hatua ya kukaribisha sekta binafsi kuendesha DART ili kuboresha huduma za usafiri mijini kutokana na kasi kubwa ya mabasi kuharibika, kuruka abiria kwenye stendi nyingi za mabasi mbali na vituo vikuu na mabasi mazima kubaki machache.
View attachment 2947478
Mwekezaji huyo atapewa nafasi ya kupewa ruti kwenye awamu ya pili ya mradi iwapo itathibitika kuwa ameweza kuboresha huduma kwa kiasi kikubwa.

Kafulila aliongeza kuwa kuwa mwekezaji mpya anatarajiwa kuleta idadi ya kutosha ya mabasi ili kumaliza msongamano huo.

Kafulila alisema pia kuwa utiaji saini unatarajiwa kufanyika wiki mbili zijazo, huku ENG ikitarajiwa kununua mabasi na kutoa huduma za usafiri “wakati jukumu la DART litakuwa ni kusimamia mapato.”
Safi ,Cha msingi wawe na ufanisi
 
Serikali imedhamiria kusaini mkataba wa ubia na Shirika la Emirates National Group (ENG) lenye makao yake makuu Dubai ili kuendesha usafiri wa mabasi yaendayo haraka Dar (DART) awamu ya 1 mwezi ujao.
View attachment 2947476
ENG chini ya Mkurugenzi Bw. Ahmed Abood Al Boasy (Pichani) inamiliki na kuendesha makampuni ambayo yanashughulika na njia zote za usafiri wa kibinafsi na wa umma, pamoja na huduma zao za ziada.

Kamishna wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), David Kafulila amesema kuwa ENG ilishinda zabuni hiyo.

Serikali imechukua hatua ya kukaribisha sekta binafsi kuendesha DART ili kuboresha huduma za usafiri mijini kutokana na kasi kubwa ya mabasi kuharibika, kuruka abiria kwenye stendi nyingi za mabasi mbali na vituo vikuu na mabasi mazima kubaki machache.
View attachment 2947478
Mwekezaji huyo atapewa nafasi ya kupewa ruti kwenye awamu ya pili ya mradi iwapo itathibitika kuwa ameweza kuboresha huduma kwa kiasi kikubwa.

Kafulila aliongeza kuwa kuwa mwekezaji mpya anatarajiwa kuleta idadi ya kutosha ya mabasi ili kumaliza msongamano huo.

Kafulila alisema pia kuwa utiaji saini unatarajiwa kufanyika wiki mbili zijazo, huku ENG ikitarajiwa kununua mabasi na kutoa huduma za usafiri “wakati jukumu la DART litakuwa ni kusimamia mapato.”
Bila shaka baada ya biashara hiyo kukamilika,ACTL nayo wakabidhiwe waarabu hao hao.
Maana kama hatuwezi kuendesha mabasi,ndege tutawezaje.
 
Safi sana abiria wanakaa muda mrefu kwenye vituo kusubiri usafiri wakati Kituo cha gerezani,Kimara mwisho pamoja Jangwani mabasi yamejaa kibao kisa mabavu wakati uwezekano wa kuyatengeneza na kurudi barabarani upo.
 
Safi sana abiria wanakaa muda mrefu kwenye vituo kusubiri usafiri wakati Kituo cha gerezani,Kimara mwisho pamoja Jangwani mabasi yamejaa kibao kisa mabavu wakati uwezekano wa kuyatengeneza na kurudi barabarani upo.
nadhani, kwa mwendo kasi, tujaribu experience ya wenzetu toka nje, tujifunze kwao na tukijazoea tuendelee wenyewe. ukipita barabarani watu wameshika tama, wamekaa vituoni hadi masaa mawili wengine hawajapata basi, likija mnagombania, mnapanga foleni kama watumwa, wananchi wa hali ya chini wanapata shida sana. Mungu aingilie kati. kuna nchi duniani kuna raia wengi zaidi ya Tanzania ila mabasi kama hayo hayawapi watu shida kiasi hicho. nenda pale kamata kaone watu wanavyopoteza ratima na muda kusubiri basi, walivyo na sura za kutia huruma.
 
Back
Top Bottom