Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,556
- 34,485
Kama Katiba inamruhusu shida Iko wapi!??Mzee Freeman mbowe katiba ya chama inamruhusu awe mwenyekiti hadi siku ya mwisho ya maisha yake hapa duniani.
Kama Katiba inamruhusu shida Iko wapi!??Mzee Freeman mbowe katiba ya chama inamruhusu awe mwenyekiti hadi siku ya mwisho ya maisha yake hapa duniani.
Usihangaike na WajingaUenyekiti upi ni wa kudumu!?
Mambo ya kuchapisha fomu 1 Chadema hayapoSugu usanii mwingi
Amuachie tu baba mchungaji.
Heri Sugu ambaye kazi yake ni Msanii wa bongofleva kuliko Mchungaji ambaye kazi yake uchungaji kuwa MsaniiSugu usanii mwingi
Amuachie tu baba mchungaji.
Yupi? ujinga, umasikini, maradhi, rushwa bado vimetamalaki nchini chini ya serikali ya CCMVipi yule mwenyekiti wa milele
Lakini ana maokoto zaidi ya MsigwaSugu hana content za kumtoa Msigwa hapo.
Hivi kumbe Chadema mnafanya Uchaguzi? Mbona hakuna anaejua?Hii ndio Taarifa mpya inayozunguka mitandaoni hivi sasa .
Pichani ni umati wa wafuasi wa Chadema wakimsindikiza Mchungaji Msigwa akirejesha fomu ya kuomba tena Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa .
Ilibidi Jeshi la Polisi lifanye kazi ya ziada kupanga misululu ya wat
View attachment 2970084
Asante kwa kufuatiliaHivi kumbe Chadema mnafanya Uchaguzi? Mbona hakuna anaejua?
Sugu amesema eti mkimchagua ndio atajenga hii ofisi hapa maana wewe na Msigwa ni matapeli 😁 😁 😁 👇View attachment 2970142
Nilikutana nayo huko Twitter Sugu anachambwa 😆😆Asante kwa kufuatilia
Wewe ulitaka nani ajue ili ijulikane kama inajulikana CHADEMA kuna Uchaguzi!??Hivi kumbe Chadema mnafanya Uchaguzi? Mbona hakuna anaeju?
Ni sawa mkuu ,kumbe mabadiliko mnayopigia kelele ni usaniii tuKama Katiba inamruhusu shida Iko wapi!??
Hahaha yaani watu wachache hahaha kichama mfu hikiHii ndio Taarifa mpya inayozunguka mitandaoni hivi sasa .
Pichani ni umati wa wafuasi wa Chadema wakimsindikiza Mchungaji Msigwa akirejesha fomu ya kuomba tena Uenyekiti wa Kanda ya Nyasa .
Ilibidi Jeshi la Polisi lifanye kazi ya ziada kupanga misululu ya wat
View attachment 2970084
Hizi chaguzi hazina maana yoyote zaidi ya kuruhusu wapuuzi kama Lema kupata platform ya kuropokaWewe ulitaka nani ajue ili ijulikane kama inajulikana CHADEMA kuna Uchaguzi!??
Hao wachukua fomu walichukuaje fomu kama hawajui CHADEMA kuna Uchaguzi.
Na hao waliowasindikiza hao wagombea kina Sugu na Msigwa walikuwa wanawasindikiza bila ya kujua kama kuna Uchaguzi!?
TWAWEZA utafiti wao kuhusu wanaoiunga mkono CCM walikuwa sahihi!!!
Kwa Ivo Uchaguzi mzima unamhusu Lema pekee!!!Hizi chaguzi hazina maana yoyote zaidi ya kuruhusu wapuuzi kama Lema kupata platform ya kuropoka
Mfu kipimo chako ni kipi!?Hahaha yaani watu wachache hahaha kichama mfu hiki
Kwani mabadiliko ni nini???Ni sawa mkuu ,kumbe mabadiliko mnayopigia kelele ni usaniii tu
Sugu amuachie Msigwa yeye atwae jimbo la mbeya mjni, RAIS wa Mbeya!Naona wamefikisha ujumbe kwa Sugu!
Unazijua mali za Msigwa?Lakini ana maokoto zaidi ya Msigwa
Yaani wanamwita tapeli kiuhalisia ndio mfuasi pekee alieko chadema anaejitambua 🙆♂️🙆♂️Hivi kumbe Chadema mnafanya Uchaguzi? Mbona hakuna anaejua?
Sugu amesema eti mkimchagua ndio atajenga hii ofisi hapa maana wewe na Msigwa ni matapeli 😁 😁 😁 👇View attachment 2970142
Lema ndio anaeonekan kuwa msemaji halisi wa chama ,na kibaya zaidi amekuwa mropokaji kuliko hao wengine ambao walau mungu amewajali akili kidogoKwa Ivo Uchaguzi mzima unamhusu Lema pekee!!!