Huu uwongoWale wamewekwa ku stabilize mambo, chama kilikuwa kinaenda uelekeo usio sahihi
Naunga mkono hojaKwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Wewe unajuaje kwamba hapa mtu kakufanyia roho mbaya kama na wewe sio mroho mbaya..?Sukuma gang mnashida sana. Tatizo lenu hamuwezagi ku survive kwenye mifumo inayotumia akili na maarifa kujiendesha. Mnaweza ujinga, roho mbaya, chuki , fitna na uuaji tu.
Kubalini tu sio zama za ujinga wenu hizi.
Kwa hali ya sasa ya siasa ilivyo sivutiwi nao,namuomba raisi wangu atulize kichwa na alione hili,bado wapo wenye mvuto kwa hizo nafasi ndani ya chama...Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Kwani roho mbaya inajificha? Au mlivyochukua nyumba ya GSM pale mlifanya roho nzuri?Wewe unajuaje kwamba hapa mtu kakufanyia roho mbaya kama na wewe sio mroho mbaya..?
hapo sasa!Kwani Makonda mwenye ushawishi kakaa muda gani kwenye uenezi?
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!u
Ccm hua inasomba watu kutoka maeneo mbalimbali kujaza uwanja wa mikutano labda hawataki Hilo wanataka uhalisiaKwa kweli hawana mvuto halafu kwa nini wanafatana kama kumbikumbi
Kwenye hotuba yake ya kwanza tu alishawatahadhalisha kuwaambia nadhani mnajua misimamo yangu kama hamuiwezi ni bora mkaniondoa mapema mwisho wa kunukuu,anaishi anachokiamini na je unadhani hayuko sahihi?Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Sio kweliCcm hua inasomba watu kutoka maeneo mbalimbali kujaza uwanja wa mikutano labda hawataki Hilo wanataka uhalisia
Huwezi kuijua roho mbaya kama wewe huna roho mbaya!Kwani roho mbaya inajificha? Au mlivyochukua nyumba ya GSM pale mlifanya roho nzuri?
Hahaaa😂😂😂Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025
Naungana nawe. Nahisi wana ajenda ya siri ya kumuangusha boss wao. Kijana yule,acha kabisaa. SSH alipata jembe kwelikweli kwa wakati sahihi. Lakini sasa,mmh,yetu macho.Kwa wadau wa siasa na upepo unavyoelekea, nimeona ziara za CDE Dkt. Nchimbi na CDE Makala hakika wanakusanya watu wachache sana na hawana hoja za mikutano na wala ajenda zao hazieleweki. Utasikia wanaongelea ajenda za wakuu wa mikoa na wilaya na wabunge, mwananchi tofauti na ukilinganisha na nyomi za Makonda na alivyokuwa anatengeneza ajenda za kugusa maisha ya watanzania.
Kibaya kabisa utamsikia CDE Makala anasema mpigieni Makofi katibu mkuu (hahahahah, yaani badala ya watu waone pointi wapige makofi wanaamrishwa). Inaonekana kabisa hawana ushawishi na wanampotezea Dkt Samia kura nyingi ambazo Makonda alikuwa keshaanza kuzirudisha kwa CCM.
Natabiri Dkt Nchimbi atatenguliwa ukatibu Mkuu kabla ya 2025!
Nadhani udhaifu mkubwa wa Dkt Nchimbi kushindwa kuendana na mabadiliko, hata 2015 hakutakiwa kujitokeza kwa sababu ilijulikana mfumo ulikuwa haumtaki Mzee Lowasa kwa sababu ya hali ilivyokuwa.Kwenye hotuba yake ya kwanza tu alishawatahadhalisha kuwaambia nadhani mnajua misimamo yangu kama hamuiwezi ni bora mkaniondoa mapema mwisho wa kunukuu,anaishi anachokiamini na je unadhani hayuko sahihi?