, “Ninyi Mafarisayo mnasafisha kikombe na sahani kwa nje huku ndani mmejaa udhalimu na uovu.Wajinga Ninyi! Hamjui kuwa yeye aliyetengeneza sehemu ya nje ndiye aliyetengeneza na ya ndani pia?Watendeeni ukarimu maskini kwa kuwapa vilivyomo ndani ya vikombe na sahani zenu na kila kitu kitakuwa safi...
PRESHA inazidi kuongezeka kila kukicha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba, 2015 ambapo sarakasi mbalimbali za kisiasa zinaendelea kuchezwa na wafuasi wa vyama vyote bila kujali chama tawala au vyama vya upinzani.
Macho na masikio ya wengi...
Viwanja vizuri vinauzwa kwa bei poa karatasi zote husika zipo za serikali
bei ya viwanja
robo eka milioni 16
20 kwa 25 shs 10,000,000.
Maji umeme upo kuwai kwako ndio kupata eneo zuri
maeneo ya karibu na snake park na njia ya kenda simba motors
karibuni wote
number ya cimu 0765604293
Sina mengi sana ya kuongea ila hatujamuona jimboni tokea amechaguliwa na alitoa ahadi tele lakini hamna ata moja aliyoitekeleza je huu ni uungwana au uhuni?
tokea jana kama mwanademoksia na pia mkombozi wa nchi ninayoipenda na pia mwanafamilia wa JF unajua kunamaneno ambayo watu wanaweyekusema wakiwa kwao nyumbani na familia zao lakini kuja jamvini na kusema siasa za tanzania kusema ni utumbo kweli kabisa hiyo si sawa usawa uwepo kwa kila mtu na...
Tokea nimeanza kusoma maelezo yake hapa jukwaani anaonekana kama mtu ambaye akishindwa anatapata.
Hata mzee wake alikosa nafasi ya kugombea urais kwa maneno yake, matatizo yako William Malecela, inabidi ungalie kwanza ndani ya chama chako kama kuna wasafi au la. Siasa za Tanzania zinahitaji...
angalizo ndugu nape yale yote uliyoyasema kujivua gamba ndani ya siku tisi kufukuzwa uanachama ndani ya chama mbona bado wapo haya tunakusubiri ndani ya arumeru ukaanze kampeni unahaabisha chama kama siasa uwezi iwache au jiunge upande nnawo
madaktari wote waliogoma sisi kama wananchi tunawaunga mkono asilimia miamoja kwa ajili madai yao yote ni ya msingi ila serikali inaona kuwa hawana mcna kwa sasa kwa ajili ata wao wakiumwa wanatibiwa india wakati hiyo pesa zote wanazopeleka india wangetumia kuboresha huduma hospitali za nyumban4...
Katika hali ya kushangaza JK jana alisema ccm lazima ibadilike iweze kusonga mbele na pia katibu uenezi na wenzake waendelee kupiga domo kwa manufaa za chama h hii sehemu ndogo tuu inashiria ata yeye kama mwenyekiti aoni kama chama kina mvuto zaidi kudai posho bungeni tia maji maji si dhani...
katika hatua ya kushangaza spika na waziri mkuu wamedai posho zimepanda wote wakiliongelea swala hili kwa nyakati tofauti na ofisi ya rais kukanusha kuwa hazijapanda huu ni mwendelezo wa vituko ndani ya serikali hii nani anaongoza nchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.