angalizo ndugu nape yale yote uliyoyasema kujivua gamba ndani ya siku tisi kufukuzwa uanachama ndani ya chama mbona bado wapo haya tunakusubiri ndani ya arumeru ukaanze kampeni unahaabisha chama kama siasa uwezi iwache au jiunge upande nnawo
Mgombea wa CCM Arumeru ni Sioi. Igunga Nape alipigwa marufuku asikanyage asije akamchefua RA na bila shaka Arumeru pia hatakanyaga asije akawachefua watu. He now has only one choice, if you cannot fight them...join them. Angesoma sayansi angejua maana ya neno "inertia" - to do work you have to overcome inertia otherwise work done remains NIL. Sisi waswahili tunasema, kagonga ukuta au kaukwaa kisiki.
Nilizani Nape kazi yake ni uenezi na sio kufanya maamuzi ya chama. Sishangai waiter/waitress ndiye anayelaumiwa kama chakula anacholeta mezani nikibovu ingawa kazi yake sio upishi; na alivyojasiri bado atapokea lawama zote za ubovu wa chakula nakuwaomba radhi wateja! Call a spade a spade.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.