Ninaumr wa miaka 34 ,ni muajiriwa NGOs Nina mtoto mmoja ,mrefu kiasi Sina gari,Sina nyumba nimepanga naish dsm
Kama unajua unataka kuolewa na unaumri 27 yrs nicheki, ila uwe na vigezo hivi;
1. Mkristo
2. Uwe tayari kuolewa sio unakuja kwangu kujua
3. Mvumilivu
4. Uwe tayari kuanza nilipo...
Wazee niliomba connection ya kazi humu miezi kadhaa JF mlinisaidia kwa kiwango chake kwa kurespond na tatizo langu la kazi kiukwel nimeapply sehem mbalimbali bado nasubiri majibu lakini NAOMBENI Bado cjafanikiwa.
Jana tarehe 16 /12/2023 nimeona Nipeleke familia nyumban kwanza ili nipambane...
Wazee kwa unyenyekevu mkubwa naomba connection ya kazi Nina familia hapa nawaza mpaka bas naomba atakama sio kazi ambayo nimesomea naomba kazi yoyote halali ambayo itanitoa kwenye mapito haya wakati nasubir mungu afanye wepesi na mungu atakubariki ....(nipo kwenye kipindi kigumu)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.