Anaejua madalali waaminifu feri naomba anionganishe nae

Kuwa Makini Mkuu.

SIO KILA ATAKAE KUPIGIA SIMU NI DALALI, WENGINE NI MISSION TOWN.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Jf Kuna Mawinga wengi
Najua sana na pia najua vigezo ambavyo ntagundua ni dalali kweli au mawinga tu ....pia ili nikukute njoo na kitambulisho kuonyesha wew ni dalali wa samaki feri na barua kutoka kwa manager wa soko la samaki feri hii ni official tender bro
 
Najua sana na pia najua vigezo ambavyo ntagundua ni dalali kweli au mawinga tu ....pia ili nikukute njoo na kitambulisho kuonyesha wew ni dalali wa samaki feri na barua kutoka kwa manager wa soko la samaki feri hii ni official tender bro
Sasa hivi mkuu mtu c anaweza tengeneza hicho kitambulisho na hiyo na ikapigwa muhuri swaaaaf kabisaaa Chochoroni kariakoo huko au?
Nawaza tu.
 
Back
Top Bottom