Jf Kuna Mawinga wengiKuwa Makini Mkuu.
SIO KILA ATAKAE KUPIGIA SIMU NI DALALI, WENGINE NI MISSION TOWN.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Najua sana na pia najua vigezo ambavyo ntagundua ni dalali kweli au mawinga tu ....pia ili nikukute njoo na kitambulisho kuonyesha wew ni dalali wa samaki feri na barua kutoka kwa manager wa soko la samaki feri hii ni official tender broJf Kuna Mawinga wengi
Sasa hivi mkuu mtu c anaweza tengeneza hicho kitambulisho na hiyo na ikapigwa muhuri swaaaaf kabisaaa Chochoroni kariakoo huko au?Najua sana na pia najua vigezo ambavyo ntagundua ni dalali kweli au mawinga tu ....pia ili nikukute njoo na kitambulisho kuonyesha wew ni dalali wa samaki feri na barua kutoka kwa manager wa soko la samaki feri hii ni official tender bro
Si uende tu feri wenyewe ukajionee..kua makini majizi yamo humu Kuna mwenzio kalizwa na muuza maragwe fekiii.Noted