UsingewajibuNimeuliza ili kufaham tu tu inawezekana kuna mtu anajua kuuliza sio ujinga ndugu
Kama tayari wana namba zako wanaweza kukupata hata usipowajibuKwa nini ulitoa jibu bila kufahamu ni nani unayemjibu?
Kwani kuna pahala umeharibu mpaka uhisi kukamatika?Kama tayari wana namba zako wanaweza kukupata hata usipowajibu
Hizo ni simu za mezani,sasa ni ttcl ama shirika gani sijui.Alafu sijawai kuona tangu nazaliwa namba nyingi kama hii ....kwa hapa bongo