Habari wakuu , Nahitaji kufahamu inachukua Muda Gani kwa Mwanachama Mpya Wa NHIF kupata Bima ya Afya Baada ya kulipia.
Na je baada ya kulipia Anaweza Pewa Namba ya Bima yake akaendelea Kuitumia Huku Akisubiri kadi ya Bima?
Habarini,
Ninaomba Kuuliza kwa wazoefu , Endapo Mama anachangamoto ya Maziwa kutoka toka Mtoto ana mwezi Mmoja Je ni sahihi kwa mtoto kuendelea kupewa maziwa ya kopo hasa Lactogen kwa zaidi ya Miezi 7?
NOTE: Mama Ana upungufu wa maziwa toka Akiwa na mwezi Mmoja yamekuwa hayatoki hata yakitoka...
Habari Wanajamvi, Ninaomba Kuelimishwa ukiachilia mbali gharama ipi ni njia salama zaidi kiuhalali ,na kiurahisi kununua kiwanja kwa mtu binafsi au kampuni , ili kuepuka utapeli wa hati mbili mbili au kiwanja kimoja kupewa watu wawili.
Katika Dunia yaleo Kila Sekta Imekuwa na Matapeli na watu wakweli hakuna sekta iliyopure asilimia 100 bila uongo na Ukweli.
Je ,nikitu Gani Ushasaidiwa na Mganga wa kienyeji Ukaamini Waganga Wakweli wapo
Habari za wakati huu wakuu,
Nina Mdogo wangu Amemaliza certificate ya Ualimu Tabora Teachers college Grade A , ila Nilitaka ajiendeleze apate Diploma Ila kwa bahati mbaya sijapata chuo kinachotoa Diploma ya ualimu wa shule ya Msingi.
Ninaomba ushauri ni chuo gani anaweza pata diploma...
LEO naomba Tuwasaidie wale ambao nauli za kwenda mkoani Hawana , Hivi Kuna Waganga wakweli dar au bagamoyo ? Kama unamjua taja jina na Mahali anapopatikana Haina haja ya Mawasiliano Anayehitaji Atamtafuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.