Waajiriwa wengi tarehe hizi mnakuwa na jeuri sana na kuona maisha mshayamaliza ikifikaga tarehe kuanzia 10-20 mnatiaga huruma na kuanza kukopakopa kwa haohao unaotaka wakamatwe na TRA.
Kuacha/kupenda ni automatically reaction na si influencing situation. Kiufupi kila jambo lina muda na sababu ya kutokea. Sababu na muda wa kumuacha ukifika wala hutatumia nguvu kubwa na pengine hautahitaji hata ushauri kwa mtu.
Ushaona wapi mwanaume anajisifia kupendeza mbele ya mwanaume mwenzake kama sio kutangaza biashara??.. by the way wenye akili tushaelewa. Vipi mafuta unayo?
Angalia vizuri kampani yako. Mara nyingi watu tunaoambatana nao wamebeba mood zetu. Chakufanya tafta kampani ya wasomaji watakuathiri na wewe utajikuta unasomasoma ht kama sio kama wao lakini kwa kiasi chako
Sawa. Ila tambua kwamba me naona nikosawa ispokuwa watu wanaonizunguka kuna vitu wanaona siwatendei haki kulingana na misimamo yangu. Na ukiangalia most of behaviors sio mbaya ila napata tabu kuishi na jamii ambayo ipo kinyume changu.
Kama ilivyokuwa kwa familia nyingi za kikwetu inapoanza migogoro ya kindoa haijawahi waacha watoto salama.
Nikiwa kinda sana kwenye miaka ya 1995/96 wazee waliingia mtafaruku na kujikuta wameachana hivyo kusababisha mgawanyiko wa watoto kimalezi mana MAMA alibakia na baadhi ya watoto na BABA...
"Hakika mwenyezi Mungu habadirishi yaliyo katika umma mpaka wabadirishe yaliyo katika vifua vyao".. ukitaka matokeo tofauti fikiria tofauti fanya tofauti na ambatana na watu tofauti. Namaanisha ukitaka Mungu akuongoze lazima ubadirike kuanzia fikra hadi matendo. Sasa we bado una kabwana afu...
Kwa sisi tunaoamini katika MWENYEZI MUNGU tunaamini mwenyezi Mungu hamuonei wala habagui mtu na kila kinachoendelea katika maisha yako ni QADARI . QADARI ndio kheri kwako ko unapolikosa jambo ndio kheri kwako ikiwa kama si uzembe wako na unapolipata jambo ndio kheri kwako ikiwa kama si dhuluma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.