roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,492
- 2,584
Nenda tuishen shule zimefungwa wewe!!Hellow africa
Acheni sifa ambazo wengi mnazibeza kuhusu wanaume wa dar japo nyingi ni za uongo msingekuwa mnatoka mkoani kuja kufwata penzi dar
Il uwe mwanaume wa dar must having money
Sifa za mwanaume wa dar
Kwaza tupo smart kuliko kawaida na wasafi sana yaani tunapiga pamba kali af kwa bei kali
Pili kichwani tuna akili sana yaani wengi tupo smart sana ki mental
Tatu tunajua kutafuta pesa na kutumia pesa pia
Wapole na tupo romantic sana ilo hakuna wakupinga
Mwisho kabisa ni watanashati sana that why watu wa mikoani mnataka kuolewa na wanaume wa dar