KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,704
- 58,352
Shusheni baraka zenu ndoa yetu isijekuingia mumi..Amina
Shusheni baraka zenu ndoa yetu isijekuingia mumi..Amina
😳Shusheni baraka zenu ndoa yetu isijekuingia mumi..
Usishangae shusha maombi tuue mumi wote
Usiku mwema mkuu...usiweke utani kwenye userious....my last answerUsishangae shusha maombi tuue mumi wote
Naelewa nami nimekubali yameshapita sijataka kuwa na ukaribu nae sabbu ya sitaki kuharibu mahusiano yangu na yake sabbu nae bad hajaoaPole sana mkuu, wazazi wamekuzuia kisa DINI mmh hizi DINI hizi,
ushauri wangu ni mdogo tu wala sio mkubwa Ila naimani utakusaidia kwa hio usinipuuze
kwanza ikubari hali uliyonayo namaanisha kubari jinsi ulivyo huyo ni wewe huwezi kua mtu mwingine na yaliyotokea yameshatokea huwezi kuyafuta kwenye ukurasa wa maisha yako hizo page kwenye kitabu Cha maisha yako zipo tu na utazisoma na kuzisoma na kuzisoma kwa hio jikubari kwa hali uliyonayo na
pili jaribu kubadirisha mtazamo (hasi) ulionao kuhusu suala la ndoa (kuogopa ukipeleka mchumba basi watamkataa) kwa kubadirisha mazingira uliyopo yaan km upo Dar na hio situation ilikukumba Dar hama nenda kahamie sehemu ambayo roho na Nafsi yako vitakua na furaha na amani kumpata yule anaekufaa,
tatu maumivu wengi tumepitia Ila tumejifunza tumeumbiwa kusahau ingawa majeraha tunaishi nayo even though situation hazifanani, wewe ni wazazi wamemkataa mchumba mwingine mchumba kamgeuka kabla ya utambulisho anaoa mtu mwingine (usaliti) jeraha hili hakiponi kwa haraka ni kila siku zinazoenda kwa Mungu unaliangalia tu kovu lako
UsilogwePole, Haupo peke yako mahusiano mengi sana huwa yaharibiwa na haya mambo ya kidini ila kwa mtoto wa kike akibadili dini ni sawa tu wazee wasikaze sana nao.
Lakini unakwepa swali langu.Bora umenisaidia
Unamaananisha nn?Usilogwe
Tusichoshane 😀sijaleta mada ya Imani usitoke nje ya madaLakini unakwepa swali langu.
wewe Kuwa na maamuzi ya Akili usituchoshe kama unaona uislamu wako niwa maana sana komaa nao na tafuta wa dini yako kama unamashaka nao basi Njoo huku kwa Wakristo ule maisha mapya
Usibadili dini kisa ndoa nasema USILOGWE..Unamaananisha nn?
Kakojoe ulaleTusichoshane 😀sijaleta mada ya Imani usitoke nje ya mada
Sawa afande Rama tumekuelewaKitu ambacho sitakuja kukisikiliza ni mswala ya IMANI ktk Ndoa. Bahati nzuri ni kwamba sina huo mpango wa kuoa ktk Maisha yangu. Otherwise nisingesikiliza lolote linalohusu Imani nikiwa nataka kufanya jambo linalohusu Maisha yangu.