Brilliant Beauty
Member
- Jul 8, 2022
- 47
- 50
- Thread starter
- #41
Mambo ni mengi utameza vyoteeSidhani kama sheria inausomaji wa hivi. Kumeza ndio kilakitu.
Mambo ni mengi utameza vyoteeSidhani kama sheria inausomaji wa hivi. Kumeza ndio kilakitu.
Angalia vizuri kampani yako. Mara nyingi watu tunaoambatana nao wamebeba mood zetu. Chakufanya tafta kampani ya wasomaji watakuathiri na wewe utajikuta unasomasoma ht kama sio kama wao lakini kwa kiasi chakoWakuu nimejikuta nimekuwa mvivu sana hasa kwenye mambo ya kusoma, sina mood kabisa sijui nifanye nini.
Hamna ninachowaza useme hela au mapenzi, hamna chochote, nipo tu yaani sielewi japo nahudhuria lecture na kuelewa vizuri ila kusoma ndio imekuwa shida.
Huwa sina tabia ya kucomment on trivial issues Ila kwa kuwa you're young ,let me set you straight bila Kona.Mmmh au basii tu
Hii Mkuu, umemaliza kila kitu hasa hapo ulipogusa kuwa ishu ni kutoka comfort zone pamoja na kupractice kitu ulichojifunza. Njia hii imenijenga sana, na ninamshauri jamaa aishi humu.Huwa sina tabia ya kucomment on trivial issues Ila kwa kuwa you're young ,let me set you straight bila Kona.
As you advance in your law career utagundua 98% of what you study in practice hutakitumia ,ni principles of law very important but as a matter of principle ,in practice mambo ni tofauti Sana ,complex legal scenarios, i.e utapatana na jurisprudence where a person owns the property above but not the land it sits on , this will confound you kwa kuwa ina violate all common law property laws. The jurisprudence is murky still Ila as an advocate lazima utafute ways to find justice .
Hao wanao kupa sympathy advice watakufelisha , law is a developing field ever evolving ,ulipo najua bado judges obiter na ratios hujajua kusoma .
In this field find the passion to read Kama huna force your way through ,chanua mbuga mpaka uzoe ,time is a luxury you will never have .
Unless una mpango wakwenda boring and lazy fields za NGO where things are broadly static ntakuelewa ,Ila Kama unataka challenging fields Kama tax law ,property law ,conveyancing ,commercial law , take my advice ,get off your comfort zone poteza company uliyonayo ,jikite kwa vitabu na utafute a law firm go practice when you're free .
Otherwise taking advice from vijana mlioshule pamoja au sympathy advice ,utanipata in court litigating or any other well read advocate ,utanyooshwa both in discovery mpaka deposition .
Soma
Hongeraame nmeanza chuo npo mood less hadi namaliza nipo mood less.., yaan mzuka wa kusoma sikuwa nao kabisa ila nashukuru nilimaliza salama kwa miaka yote minne
asante sana..., uko poa lakinHongeraa
Mimi mwaka wa kwanza ila wa pili na 3 aloo nilipiga msuli balaa.Hali kama hio nilikutana nayo mwaka wa pili.
Ulipofika mwaka wa tatu mzuka ukarudi