Habari wandugu. kwa yeyote anayeweza kunisaidia namna ya ku-upload CV kwenye website ya Bank ya NMB. Mimi kila ninapo upload inanikatalia. Please help!
Wakuu habari zenu naomba mwenye taarifa na shortlist ya post ya CENTRE PRINCIPAL-veta zilizotangazwa may, 2017 ni lini? Shortlist ya post zingine zimeshatoka tayari.
Natanguliza shukurani wakuu.
Wewe ndio mshamba dada yangu, wakati tunapambana na janga la ukimwi nyie mnalazimisha kutembea na waume za wenzenu, kwanini? Huyo jamaa yako hakutoshi? Nakushauri kama humpendi jamaa yako basi achana nae rasmi utafute mwanaume mwingine mnayependana na si mume wa mtu. Otherwise unataka kuambukiza...
Habari wakuu,
Mimi nauza nyuma iliyopo tabata segerea, karibu na kota za nssf.
Nyumba ni ya kisasa, ina vyumba vitatu ikiwemo materbedroom kubwa sana, sitting room kubwa, dining room, kitchen, store, jiko na uwanja mkubwa wa parking.
Nyumba hii ni mpya haija hamiwa.
BEI: 150,000,000 Tsh...
Nauza nyumba, ipo tabata segerea-Dar es salaam karibu na nyumba mpya za maafisa magereza za segerea. Nyumba ni mpya kama inavyoonekana kwenye picha.
Nyumba ina sifa zifuatazo:
3 bedroom including master bedroom, sitting room, dining room, kitchen, store, public toilet etc.
It has enough...
Habari wana jamii,
Nyumba inauzwa yenye sifa zifuatazo:
3 bed room including Master bedroom, sitting room,dining room,kitchen, public toilet,store etc. Also the site has enough space for car parking (up to 5 car) 25m2.
Kiwanja kipo maeneo ya juu. Nyumba bado ni mpya haijahamiwa.
Kwa...
huyo wa kawaida sana broo, isitoshe hiyo ni spam, tumezoea kutumiwa kila kukicha.
Ukitaka kujua/kuona wanawake warembo nenda AMBIANCE CLUB, SUNCIRO, BILLCANAS,LOSVEGAS hapo utamwona huyo computer wako ordinary.
Wakubwa habarini,
Kwa heshima na taadhima naomba yeyote anayejua mshahara wa serikali PGSS 15-16 anifafanulie.
Pia kama mtu analipwa hiyo ngazi kuna incentive gani?
Natanguliza shukrani.
Aisee benki sio sawa na chuoni; hakuna kitu kama what is ........... halafu umalizie, ni lazima ujue english (kasome short course na upate cheti uambatanishe na hivyo vya elimu ya juu)
Habari zenu wakubwa,
je kuna mtu yeyote ambaye amewahi kuchukua hela ya NSSF kabla ya miezi sita (6) kupita?
Kama yupo naomba anifahamishe sababu alizotumia kupata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.