Habarini wakuu__nahitaji msaada wa mawazo ama ushauri au njia gani nipite ili niweze kufanikiwa kuingia marekani
_bongo maisha magumu sana
Kuna jamaa yangu yuko marekani kupitia yeye nataka namm nikanyage kwa biden
Msaada ninao uhitaji kutoka kwako.
Kwa upande wangu huku tanzania natakiwa...
Mawili matatu kwavijana wenzangu:
Kwenye harakati za kutafuta pesa
Kwenye harakati za kutafuta ugali wa watoto
Kwenye harakati za kujikwamua kimaisha
Kwenye harakati za kutimiza wajibu wako kama baba
Bas nawaasa msisahau kujipongeza (nini namaanisha?)
Ukiendekeza sana majukumu hautakaa ununue...
Kuna wengine miaka nenda rudi wapo kwenye makampuni__ila mpaka leo hata pakulala pauhakika hakuna__hiko kitu kinaniwazisha sana ila kuna wale wajanja wajanja tu unakuta amekuja mjini hata posta hapajui ila after 1 year kakuacha parefu sana
Hio siri ndo inatakiwa tuambiane (what is going on) mana mtu anakuambia ukiwa unafanya biashara jifunze kuweka akiba ila ukiangalia yeye jinsi alivyo anza unaona kabisa akiba yake hauwezi mpa hivyo vitu
Najiulizaga sana, ama wewe hujiulizagi?
Kwenye biashara ama mishe hio hio unayofanya miaka nenda rudi unaishia kupata hela yakula tu
Ila anakuja mtu moja wala hana uzoefu kiviile nahio biashara ama kazi
Ila kwamuda mfupi tu mambo yake yamenyooka
Matajiri wa jf mtuambie nimbinu mnazitumia...
Msaada wakuu nataka kuagiza kitu aliexpress__ila kwenye kujaza info za account nimeweka (kadi ya airtel master card__ila wananilitea hivi) naomba msaada kwenye hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.