Naomba msaada dawa gani nitumie kuweka sawa ngozi yangu

DR Mambo Jambo yaani inabidi JF IANZE kumlipa😂😂😂😂
Kila mtu akiwa na tatizo ni DR Mambo Jambo , mwanangu ana kikohozi, ngozi yangu imechubuka baada ya kutumia cream dr mambo jambo msaada wako, dr mambo jambo mwanangu ana kikohozi na akiwa anakohoa anatabasamu, dr mambo jambo nimesahau Kuchoma sindano ya power nitakufa dr au nitaendelea kuishi?
🤣🤣🤣🤣
Mwisho na mm Nina shida
DR Mambo Jambo mimi rafiki yangu akija akasema njoo tuongee nina shida nikimuangalia tu usoni lazima nimecheke hata kama kweli yupo na tatizo, ila nikimuona usoni kawa serious na nishazoea kutaniana naye lazima nicheke
Dr mambo jambo msaada wako
😅😅😅
Nimecheka Mkuu!
Lakini kazi kuu ya Daktri na kiapo cha Daktari Kinataka kusaidia Watu bila kuchoka Mkuu..
Ukishakuwa Daktari ni lazma usaidie utake au usitake..

Ni kama tu ukiwa Kiongozi utake usitake lazima upate lawama hata mtu akitapeliwa utasikia "mama samia hafanyi kazi yoyote juzi nimetapeliwa"

Kikubwa Na furaha ya Kila Daktari ni kuona Anahudumia na Kutiba wagonjwa Wengi na kusaidia watu wengi kadri awezavyo ili kupambana na Adui maradhi..
 
Mi mbona nikizirura tu Kko hiyo naipata,kama una lightskjn ni Bora kua na sunscreen Kwa jua Kali kama hivi na kuvaa nguo zinazokava mwili vizuri.....itaisha tu hiyo Hali baada ya siku mbili tatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom