Wadau mimi nina mpenzi wangu ambaye nimekuwa nae kwa muda wa miaka miwili sasa, ila tupo mbalimbali yeye yupo Dar mimi nipo Dodoma, nimekuwa nifanya kila linawezekana kumwonesha kuwa nampenda ikiwa ni pamoja nakufuata dar mara kwa mara. mwezi August nilikuwa nae kwa muda wa siku3 nakudate nae...
Wana jf mi ni kijana wa kitanzania natafuta kazi kama vile: kuuza kwenye maduka ya jumla, hardware, supermarket na statiory.
Sifa zangu:
1. Nina umri wa miaka 25
2. Nimehitimu kidato cha6 (HGL).
3. Nafanya kazi kwa kujituma na chini ya usimamizi mdogo.
4. Nina uzoefu wakutosha kuuza maduka...
Najiuliza hivi ni kwanini TZ tumeng'ang'ania kuingiza Mlima Kilimanjaro kwenye maajabu 7 ya dunia wakati tuna maajabu mengi tu zaidi ya huo mlima? Mfano mdogo unajua kuwa TZ ni nchi ya kwanza kutoa wanafunzi wa darasa la saba hawajui kusoma nakuandika ila wanafaulu mtihani. Hii vipi wadau...
Kwa mwana JF yeyote mwenye ujuzi na uzoefu wa kilimo cha viazi naomba anipe detail kuhusu kilimo hicho.
Yaani kwa mfano, nikitaka kulima hekari moja natakiwa kuwa mtaji wa kiasi gani? Na vipi namna ya kupata shamba? Msimu unaanza mwezi wa ngapi? Jinsi ya kulima na tahadhari za kuchukua wakati...
Jamani wa jf mi naomba kuuliza kwa yeyote mwenye taarifa kuhusu mchakato mzima wa wale tuliojaza fomu zakujiunga na upolisi tukiwa chuoni mwezi june coz mi binafsi sijui hata kinachoendelea mpaka sasa.
Serikari kupitia wizara ya nishati na madini ilitoa mkakati wa namna yakukabiliana na tatizo la umeme jambo ambalo lilipelekea bunge kupitisha bajeti ya wizara hiyo, na kwa taarifa ya TANESCO ilitìbitisha kwisha kwa tatizo la mgao wa umeme, lakini kihalisia mgao wa umeme bado upo pale pale na...
Mara kwa mara 2mekuwa 2kisikia malumbano kuhusu posho, na wananchi 2mekuwa wasikilizaji wakubwa nakubaki kuwalalamikia hawa wala posho. mi ninachotaka kufahamu ndugu wana jf kigugumizi kipo wapi 2nashindwa kuwadhibiti hawa wala posho kama sisi ndo 2naowachagua?
Siku hz kuna maendeleo ya sayansi na teknolojia ambayo yamepelekea hata kuathiri baadhi ya tamaduni zetu, ila leo nataka kujua kitu kimoja tu, ugumu upo wapi kwa mdada kuanza kumwambia mkaka anampenda?
Naombeni msaada wenu hata wa mawazo wana jf, ni wiki ya tatu sasa mwenzenu kiuno na mgongo vinaniuma sana hasa ninapokuwa nimelala au kukaa, nimeshaenda hospitali na nimetumia dawa nilizoandikiwa lakn sioni nafuu zaidi ya maumivu kuongezeka. nifanye nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.