Jamani kiuno na mgongo

Makambuya

Member
Dec 6, 2011
45
3
Naombeni msaada wenu hata wa mawazo wana jf, ni wiki ya tatu sasa mwenzenu kiuno na mgongo vinaniuma sana hasa ninapokuwa nimelala au kukaa, nimeshaenda hospitali na nimetumia dawa nilizoandikiwa lakn sioni nafuu zaidi ya maumivu kuongezeka. nifanye nini?
 
Fanya detoxification. au nunua Pysillium husk fiber tumia kwa mwezi mmoja. avoid meat suga, milk and refined foods. use natural foods, fruits and vegetables. in addition. drink plenty of water daily.
 
Back
Top Bottom