Ameenda mwanza as many times na kuzindua too many projects but he's never been in Mbeya since elected kwakuwa tuu Mby ni power house ya M4C
This hurts...
The simple way nchi iwe anavotaka yy ni kugombea tuu, watakaomsikiliza lissu na kumuunga mkono ni yaleyale ambao walimtukana lowasa na sasa wanamtukuza!!
Mirija yao ya kupigia pesa imezidi kufungwa sasa wanahaha kusaka kiki,kama Vp apumzishwe selo chunya huko
Sent from my Vienna using...
It's the only way wamebaki nayo kuuzia sura manake live tv hakunaga tena tuwaone wakipigana na askari n they seek is poor tanzanians attention!!
I feel sad for how my constituent representative is representing me by staying outside from where I voted for him to stay
Viva #magufuli
Wataalamu Naomba msaada KWA WANAOFAHAMU chuo kizuri ZAIDI katika kufundisha kozi za networking kwa vitendo zaidi as nshamaliza kusoma theories now nataka kujua kwa uhalisia
Thanx Guys,&sorry pia wapi ni sehemu possible kwa mm kupata display ya hiyo machine??au just ni possible wakaweka diplays kwa kuzingatia size tu na wala sio manufacturing company(Packard Bell)??
thanks in advance....
Jamani mwenzenu ndo hivo tena ,yani juzi naiwasha ndo imeanza kuonesha rangi rangi na mistari ya rangi mbali mbali zikitokea juu kushuka chini ktk display!!kifupi tu saiz haioneshi chochte zaidi ya hayo....msaada plz wadau
SORRY PLIZ NAHITAJI MSAADA AS KUNA PICHA ZA MATUKIO YA MUHIMU SANA NILIPIGA KWA DIGITAL CAMERA LKN ZMEGOMA KUFUNGUKA KWA MEANS ZOTE NILIZOJARIBU LKN FOLDER LINASOMA KUWA NDANI KUNA VITU VYENYE 3.36GB LKN NKFUNGUA INADAI FOLDER EMPTY!!NMEJARIBU KUKOPI HILO FOLDER KTK FLASH,MEMORY KADI NA KUTEST...
Hwapendi tu kusema ukweli kwa hofu ya kupoteza wateja ila tiGO wako open kimtindo kwa pale mby as jamaa alinambia kuwa just wanatangaza tu ktk media ila MBEYA hakuna 3G ndo mana tiGO & Airtel zinazingua kupitiliza bora kidogo vodcom ina speed ya KINYONGA!!MBEYA ni kwetu ila YATAKA MOYO aiseeeeeh....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.