habari zenu,
Nina ndugu yangu amehitimu kidato cha nne amepata division two na nia yake hasa ni kusoma combination ya CBG
Je ni shule gani za binafsi nzuri ambazo zinafundisha hii combination
utakapomrudia huyo Leah huwezi ukajua lipi litakutoa kwani hujui ni kwanini akikuacha usipoteze muda hebu muombe Mungu wako akusaidie umsahau huyo leah kwani kwa Mungu hakuna lisilowezekana
unarudi kwa leah akupe ugonjwa uishie kufa
unamuacha dada wa watu anayekupenda hebu jifunze kumpenda...
Naomba kwa yeyote anayefahamu mambo ya Advertising anisaidie hili kuna topic inaitwa Advertising strategy and Tactics nimejitahidi kutafuta kwenye baadhi ya reference books lakini sijafanikisha kupata jibu sahihi na hata kwenye mtandao pia lakini sijapata tofauti za kuniridhisha yani zote...
Asanteni nimewaelew vizuri..
Kupitia hii post nimejifunza humu ndani kuna wengine akili zao hazifikirii sawasaw,Eti jamii forum imevamiwa na watoto eti kwa mkasa huu jifunze kutokua mtu wa kutoa hukumu WHO ARE YOU TO JUDGE ukiona post ya kipuuzi/ya kitoto achana nayo kuliko kupoteza muda...
unajibu hata kama wewe ni sekondari,jibu kisekondari kwani unafikiri wote mliomo humu mna miaka 30 wengine tuna miaka 20,kwahiyo bado hatujawahi kukumbana na hayo we unachotakiwa kufanya ni kutoa ushauri kama unaona swali la kindergaten basi liache
Naombeni mnisaidie kidogo ili nipate kufahamu maana naona hii social network haina faida kabisa,
Mara ya kwanza tulionana fesibuku nililike picha yake hapo sasa ndo kosa baada ya hapo nikatumiwa namba mi sikuona hatari kwani nilichukulia kama social networking tukawa tunawasiliana alinialika...
duh!.....kunusa kwapa tena..kweli ni vema kumshukuru Mungu kwa kila jambo unaweza ukaona kama ww unafanya kazi mbovu duniani kumbe wapo wenzio wanusa vikwapa
kwanza nampa pole huyo Kaka kwani kwake hilo ni jaribu,
pili yawezekana huyo dada kuna roho tu ya kipepo ilimwingia kama ujuavyo shetani amekua akiwawinda sana watoto wa watumishi na umesema huyu dada baba yake ni mchungaji hivyo yawezekana kabisa hakua amekusudia kumsaliti,
tatu yawezekana huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.