Help me out Differentiating between a strategy and Tactics

Nov 11, 2011
49
10
Naomba kwa yeyote anayefahamu mambo ya Advertising anisaidie hili kuna topic inaitwa Advertising strategy and Tactics nimejitahidi kutafuta kwenye baadhi ya reference books lakini sijafanikisha kupata jibu sahihi na hata kwenye mtandao pia lakini sijapata tofauti za kuniridhisha yani zote zimeelezewa juu juu,kwa mwenye uelewa naomba anieleweshe hata kwa kiswahili
 
I hope this helps...

A strategy is a planed approach for the long term,a tactic is a planed approach for an ad hoc moment.
A strategy respond to the question "what for" and is purpose oriented
A tactic responds to the question 'how' and is method oriented
in management strategies tend to be developed by the top management level
the tactics tend to be developed by the person in charge of the actions (more a supervision level)
 
Advertising strategy ni mkakati wa kufikia Advertisement goals. Strategy inatengenezwa ktk departmental level na meneja wa masoko au pia inaweza kuwa outsourced kwa consultants. Professionaly, ktk management science departmental level strategies kama hii zinaitwa Business Level Strategies. On the other hand,
Advertising tactics ni mbinu za kuweza kufikikia mkakati. Hz tactics zaweza kutengenezwa na experienced memberz wa marketing team baada ya kusoma na kuelewa advertising strategy iliyotengenezwa na wakuu wa idara husika..
 
Back
Top Bottom